Judgement
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 10,327
- 4,780
Mapema ya leo Swaiba wa mie wa karibu, alinipigia niende kwake haraka kuna tatizo la dharura.
Mara tu nilipofika nikakuta sintofahamu ya Swaiba wakitupiana maneno makalimakali na Mkewe , matusi included pia.
But maneno makuu yaliokua yametawala pale ni Mkewe (ambae ni mja mzito) akishinikiza kwenda kwao.
Mume nae akimzuia mkewe kwa kumwambia ;-"Mimi sina tatizo na kuondoka kwako , napenda uende hata sasa hivi ! .
Lakini kinachofanya nikuzuie ni hiyo mimba yangu , sitokubali kabisa utoe mguu humu ndani mimba yangu ikateseke! Subiri ujifungue ndiyo uondoke"
Mke akamjibu ;-
" Khaa babuwee nipishie mbali , kuondoka ndiyo naondoka vizuri na mimba yangu! Na wala usijidanganye kama nitateseka na hii mimba yangu! "
Wana wa bodi kutambiana huku ama nikuite kutunishiana msuli kwa hawa Bibi & Bwana , ndiko kulikozaa hii Thrade .
Usahihi na ufasaha mwenye mimba hapa nani ?
Mara tu nilipofika nikakuta sintofahamu ya Swaiba wakitupiana maneno makalimakali na Mkewe , matusi included pia.
But maneno makuu yaliokua yametawala pale ni Mkewe (ambae ni mja mzito) akishinikiza kwenda kwao.
Mume nae akimzuia mkewe kwa kumwambia ;-"Mimi sina tatizo na kuondoka kwako , napenda uende hata sasa hivi ! .
Lakini kinachofanya nikuzuie ni hiyo mimba yangu , sitokubali kabisa utoe mguu humu ndani mimba yangu ikateseke! Subiri ujifungue ndiyo uondoke"
Mke akamjibu ;-
" Khaa babuwee nipishie mbali , kuondoka ndiyo naondoka vizuri na mimba yangu! Na wala usijidanganye kama nitateseka na hii mimba yangu! "
Wana wa bodi kutambiana huku ama nikuite kutunishiana msuli kwa hawa Bibi & Bwana , ndiko kulikozaa hii Thrade .
Usahihi na ufasaha mwenye mimba hapa nani ?