Kiumbe kinachoitwa ‘mke’ kiogope

Hapana mkuu, huyo ni mwanaume mmoja tuu mwenye malengo yake
Yaani kila baada ya muda anapiga hatua moja mbele inavyozidi kuweka familia yake imara
Hv wewe kichwan upo sawa kweli???


Ndo mana mnaendelea kuzalishwa na kuachwa. Mmejawa na tamaa zilizozidi.
 
Dah aisee mi kiburi tu hawa watu kiburiiiiii
Ukiona mwanamke ana mat.ako makubwa jua akili kichwani lazma itakua ndogo,na ukiona mwanamke ana mata.ko ya Zuchu akili zimo zimo. je wa kwako yukoje?
 
Hv wewe kichwan upo sawa kweli???


Ndo mana mnaendelea kuzalishwa na kuachwa. Mmejawa na tamaa zilizozidi.

Acha uvivu basi
Kufanikiwa ni kipaumbele cha kila mtu awe mwanaume au mwanamke
Mwanaume haogopi majukumu tafuta asiyetaka uwe na mafanikio halafu acha makasiriko
 
Bora huyu amesema amepooza moyo..ila kuna watu wanadundwa humu...hawapewi msosi yani ni kama wameolewa...
 
Ndoa ni taasisi ya kale sana.
Shetani anaipiga vita ili aweze endelea tawala
 
Nilichojifunza ni vijana kutafuta kwanza maisha ndipo waingiee kwenye maisha ya ndoa na kuhakikisha mke anakuwa tegemezi kwake kwa asilimia kubwa hivyo ataweza ishi nae kwa amani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…