Kituo cha television ITV Tanzania, kweli ni Super Brand

chivala

JF-Expert Member
Apr 13, 2021
772
2,333
Wakuu,

Nayasema haya, siyo kwa upendeleo bali ni ukweli mtupu hata ninyi mnaweza kuwa mashuhuda jinsi ITV inavyoripoti kutoka Mahakamani kwenye kesi ya Mheshimiwa Mbowe na wenzake.

Kwenye taarifa zake za habari, ITV huweka wazi taarifa na mambo mbalimbali bila woga wala upendeleo.

Hii imefanya brand ya ITV kuendelea kuwa imara, ya kuaminika katika utoaji wa taarifa zake.
 
Ukitaka kujua kuwa super brand.
ile siku ya uchaguzi 2015,2020 live bila chenga jamaa anaonyeshwa kukimbia na box la kula.

mimi mtangazaji chizcommmmmmmmmm toka ITVvvvvvvvvvvv!
Unamaana super brand ilinywea kabisa!
 
Superbrand kwa sasa hapa bongo ni UTV tu hiyo ITV ilikua zaman bana miaka ya 2004 nikiwa mdogo ITV ilikua ikigoma nlikua nakosa raha na muda mwngne ilibidi nipande juu ya bati kurekebisha antenna kwa kujifichaficha wazee wasinione enzi hizo hapo sina hata miaka 9.

Enzi hizo nyumban kwenu kama mna TV ambayo haishiki ITV hiyo TV inakua ni sawa na radio iliyochangamka tu
 
Superbrand kwa sasa hapa bongo ni UTV tu hiyo ITV ilikua zaman bana miaka ya 2004 nikiwa mdogo ITV ilikua ikigoma nlikua nakosa raha na muda mwngne ilibidi nipande juu ya bati kurekebisha antenna kwa kujifichaficha wazee wasinione enzi hizo hapo sina hata miaka 9.

Enzi hizo nyumban kwenu kama mna TV ambayo haishiki ITV hiyo TV inakua ni sawa na radio iliyochangamka tu
Unazingua kwa habar gan walizonazo?
 
Superbrand kwa sasa hapa bongo ni UTV tu hiyo ITV ilikua zaman bana miaka ya 2004 nikiwa mdogo ITV ilikua ikigoma nlikua nakosa raha na muda mwngne ilibidi nipande juu ya bati kurekebisha antenna kwa kujifichaficha wazee wasinione enzi hizo hapo sina hata miaka 9.

Enzi hizo nyumban kwenu kama mna TV ambayo haishiki ITV hiyo TV inakua ni sawa na radio iliyochangamka tu
UTV wako poa sana..Azam wanajitahidi sana..

ITV wananiachaga tu hoi na habari zao za michezo..yaani mara mashindano ya bao,kuvuta kamba..yaani
 
Wakuu,

Nayasema haya, siyo kwa upendeleo bali ni ukweli mtupu hata ninyi mnaweza kuwa mashuhuda jinsi ITV inavyoripoti kutoka Mahakamani kwenye kesi ya Mheshimiwa Mbowe na wenzake.

Kwenye taarifa zake za habari, ITV huweka wazi taarifa na mambo mbalimbali bila woga wala upendeleo.

Hii imefanya brand ya ITV kuendelea kuwa imara, ya kuaminika katika utoaji wa taarifa zake.

Thibitisha kama siyo mchagga wewe!!!!
 
UTV wako poa sana..Azam wanajitahidi sana..

ITV wananiachaga tu hoi na habari zao za michezo..yaani mara mashindano ya bao,kuvuta kamba..yaani

Hawanaga habari za michezo za maana hao ITV, hovyo kabisa, miaka yote wako ivoivo hawabadiriki. Kwenye michezo nilikuwa nafuatilia star tv kwa kipindi kile. 4now niko na smartphone cna abari nao.
 
Wakuu,

Nayasema haya, siyo kwa upendeleo bali ni ukweli mtupu hata ninyi mnaweza kuwa mashuhuda jinsi ITV inavyoripoti kutoka Mahakamani kwenye kesi ya Mheshimiwa Mbowe na wenzake.

Kwenye taarifa zake za habari, ITV huweka wazi taarifa na mambo mbalimbali bila woga wala upendeleo.

Hii imefanya brand ya ITV kuendelea kuwa imara, ya kuaminika katika utoaji wa taarifa zake.
JPM aliichukia tasnia nzima ya habari kwa sababu ya ITV.
 
Superbrand kwa sasa hapa bongo ni UTV tu hiyo ITV ilikua zaman bana miaka ya 2004 nikiwa mdogo ITV ilikua ikigoma nlikua nakosa raha na muda mwngne ilibidi nipande juu ya bati kurekebisha antenna kwa kujifichaficha wazee wasinione enzi hizo hapo sina hata miaka 9.

Enzi hizo nyumban kwenu kama mna TV ambayo haishiki ITV hiyo TV inakua ni sawa na radio iliyochangamka tu
Mkuu ebu achana na ilo neno enzi hizo bas uone ata aibu,
Unatuambia enz izo kama unazungumzia miaka ya 80
 
Wakuu,

Nayasema haya, siyo kwa upendeleo bali ni ukweli mtupu hata ninyi mnaweza kuwa mashuhuda jinsi ITV inavyoripoti kutoka Mahakamani kwenye kesi ya Mheshimiwa Mbowe na wenzake.

Kwenye taarifa zake za habari, ITV huweka wazi taarifa na mambo mbalimbali bila woga wala upendeleo.

Hii imefanya brand ya ITV kuendelea kuwa imara, ya kuaminika katika utoaji wa taarifa zake.
Kituko moyoni na research fupi tuliyo fanya na mabaharia wenzangu.
Sikweli kama ITV ni super brand mimi na mabaharia wenzangu wamesema UTV ndio superband.
 
Back
Top Bottom