Kituo cha sheria na haki za binadamu LHRC

illegal migrant

JF-Expert Member
Oct 18, 2013
1,277
1,121
Mzazi wangu alikuwa na kesi ya madai alidhulumiwa akafuatilia kwenye kliniki yenu ya kinondoni mpaka akanyoosha mikono juu akanambia mwanangu bora tuuze hili shamba tukatafute mwanasheria alichoka na zile njo kesho njoo kesho...wiki iliyopita mtoto wa jirani yangu amebakwa kesi ikapelekwa obay polisi jamaa naona alituzidi ujanja kesi ikarudishwa kwenue dawati la jinsia binafsi mimi ni bush loya nikapeleleza nikaambiwa jamaa alitoa laki sita kwa askari wa dawati jina namuhifadhi .....binafsi ni mtu wa hasira ma kisasi hivyo nikatumia u bush loya wangu kutaka kumfukuzisha mtu kazi kwani haiwezekani mtoto amebakwa ripoti ya daktari ipo halafu kesi imegeuzwa siyo ya jinai bali imeletwa kwenye usuluhishi kwenye dawati la jinsia baada ya kufanya upelelezi mdogo nikagundua hili dawati linawadhulumu watoto na wanawake haki zao sheria ya ubakaji ni ngumu na wananchi wa kawaida hawazijui mfano mtoto anapobakwa hutakiwi umuogeshe wala umbadilishe nguo yaani uende naye kituo cha polisi na manii na madamu ili waweze kuchukua sampo bila kufanya hivyo utaambiwa upelelezi haujakamilika mpaka unafilisika haya ni mambo muhimu ya nyinyi kuhangaika nayo ila binafsi naona mmejikita zaidi katika kuikosoa serikali au ni mimi nisiyejua dhima ya ofisi hii kuna kesinya wafanya kazi wengi wanaokuwa terminated unfairly mmgekuwa mnatoa ripoti kuwa tumefanya haya na haya kwa watu hawa na siyo kusubiri mpaka stori za ulimboka na koromije ndio mjipatie kiki

Kama kuna sehemu nimetumia lugha ya kuudhi nisameheni tu kwani natoka kanda ya ziwa
 
Back
Top Bottom