Kituo cha Polisi nacho kimeuzwa?

Kituo cha Polisi nacho kimeuzwa?

SPANISH CP

JF-Expert Member
Joined
Apr 5, 2014
Posts
465
Reaction score
230
Ndani ya Manispaa ya Singida pale palipokua na stand ya zamani,Eneo hilo limeshauzwa na limepigwa uzio wa waya ndani yake pia kimo kituo cha polisi ambacho bado kinatumika.
Je huyo tajiri kanunua na hicho kituo?
 
Nalifahamu sana lile eneo la stand ya zamani Singida,kweli mwenye pesa si mwenzio.
 
Mbona kituo cha polisi Buguruni kimeshanunuliwa na mwekezaji mwenye asili ya kiasia. Atawajengea kingine kinyerezi
 
uliskia hicho kituo cha polc kina hati milik cha eneo hilo mpaka kisiuzwe
 
Ndani ya Manispaa ya Singida pale palipokua na stand ya zamani,Eneo hilo limeshauzwa na limepigwa uzio wa waya ndani yake pia kimo kituo cha polisi ambacho bado kinatumika.
Je huyo tajiri kanunua na hicho kituo?

Kimebnafishwa kwa wawekezaji kama obay dsm
 
Back
Top Bottom