sijakupata vizuri mkuu fafanua tukupate mkuu usilete habar nusunusu hapa itakuwa ngumu kukuelewa
tukio limetokea saa ngapi? Unaripoti usiku na picha za mchana. How come?
Taarifa zilizotufikia punde zinasema kuwa wananchi wenye hasira wakiwa na silaha za jadi, wamevamia kituo cha polisi mjini Mugumu wakishinikiza kuwahukumu watuhumiwa wa mauaji!kweli hawa makurya hawana imani na polisi. Mh Vuai ameligusia hili kupitia taarifa ya habari ya ITV. Je wananchi kujichukulia sheria mikononi ni matokeo ya wananchi kutokuwa na imani na CCM
Source: Mdau -Mugumu
Taarifa zilizotufikia punde zinasema kuwa wananchi wenye hasira wakiwa na silaha za jadi, wamevamia kituo cha polisi mjini Mugumu wakishinikiza kuwahukumu watuhumiwa wa mauaji!kweli hawa makurya hawana imani na polisi. Mh Vuai ameligusia hili kupitia taarifa ya habari ya ITV. Je wananchi kujichukulia sheria mikononi ni matokeo ya wananchi kutokuwa na imani na CCM
Source: Mdau -Mugumu
huko nimepata taarifa kuwa wananchi 2 wameuwawa na polisi tena kwa vurugu hizo.
huko nimepata taarifa kuwa wananchi 2 wameuwawa na polisi tena kwa vurugu hizo.
Basi kuna wanasihasa fulani watanunua hiyo kesi wanapenda kweli kuseek attation kwa gharama yoyote kaaazi kweli kweli
Basi kuna wanasihasa fulani watanunua hiyo kesi wanapenda kweli kuseek attation kwa gharama yoyote kaaazi kweli kweli