Kituko gani kiliwahi kukukuta during sex?

Kitu bwawa halafu linajilizaa na mimi nikawa nalizomeaaa likiangalia pembeni ile ya kimya kimya.Mwishoni linaniuliza umenjoy eeeh ? Na mimi nilivyomnafiki nikamwambia sanaaa.Sijawahi kuenjoy hivi toka nizaliwe.Na namba nikafutilia mbali.
 
Kuna mwamba alichukua demu disco usiku mida ya saa nane wako chakari akaja naye room akapiga show fresh ile mida ya saa kumi usiku demu kakata moto na kufa kabisa msela hakuamini akatustua kwenda kumcheck demu kwisha tukamuuliza jamaa kama anafahamu kwao au hata rafiki zake jamaa kasema hamjui alimchukua tu disco huko wakiwa wamelewa!
Tukaona ishu ulikifika polisi msala ikabidi kuubeba mwili na kuutupa mtaroni mbali kidogo then kesho yake habari zikavuma kuna maiti ya mdada imeokotwa mtaroni tukaenda pia kuangalia kama hatujui kilichotokea
Badae polisi walifika wakachukua mwili (ilikuwa mwaka 2010)
Halafu huyu jamaa nimekuja kukutana naye Dar ni mchungaji siku hizi halafu ana bonge la kanisa na ni maarufu sana ana pesa mingi)
 
Sio chai Ii.
 
Gahawa ☕☕
 
Mwaka 2018 nikiwa natoka zangu Uganda na basi la FALCON.
Tulipofika bukoba chuma likazingua ikabibidi tuweke kituo pale. Mpaka kufika jioni mambo hayaeleweki, nikaingia zangu club. Check one two nikaling'aza toto moya matata jeusi la kung'aa nikajisogeza. Kuanza kulipa saundo nikagundua linaongea kiswahili Cha chigari(Kigali). Nikasema kimoyomoyo tutafika tu. Baada ya kama dakika 15 mbele nikachumpa na kutafuta lodge fasta na kurudi. Kama SITA kasoro tukaondoka mpaka lodge, kama dakika 15 hivi nipo zangu Kwa chest mala mrango unagongwa Kwa nguvu nikachuna, lakini mrango unaendelea kugongwa. Nikaona isiwe kesi ngoja nifungue laula lakwata nakutana na USO Kwa USO na askari wakiwa na mashine na wameshika kitabu Cha gest. Makopsi wakaniuliza unaitwa nani nikataja jina wakacheki kwenye kitabu ndio lenyewe. Wakanichoraa mala wakadai kitambulisho nikawapa punde wakakirudisha. Sasa wakahamia Kwa yule mrembo. Swali la kwanza tu akajichanganya na alivyo jibu tu wakajua sio mbongo pila likaanzia hapo😭
 
Uliponaje mkuu, alikuwa jambazi
 
Kukutana na dada aliyekeketwa,,, hawana hisia kabisa, ila nilijua kucheza na K yake hadi Leo uwa ananitafuta ila Niko mbali nae, alikuwa anazungusha uno sijawai ona
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…