mbere JF-Expert Member Mar 5, 2015 6,967 6,465 Mar 21, 2016 #1 Wangapi humu kile kitufe cha TCRA cha OFF kinawahusu?
rubii JF-Expert Member Feb 22, 2015 14,021 18,484 Mar 21, 2016 #3 Yaani wewe jamaa ni mgumu kuelewa sana! kitakachofuata watakufutia thread na ban juu
Justine_Dannie JF-Expert Member Dec 1, 2014 1,962 1,618 Mar 21, 2016 #4 Hakuna kitu kama hicho. Propaganda tu. Kwani lazima manufacturers wa simu wanasubmit IMEI kwa TCRA? Non sense
Hakuna kitu kama hicho. Propaganda tu. Kwani lazima manufacturers wa simu wanasubmit IMEI kwa TCRA? Non sense
mbere JF-Expert Member Mar 5, 2015 6,967 6,465 Mar 21, 2016 Thread starter #5 Rubii Mi mgumu kweli kweli kuelewa, yaani dahh I can't explain nilivyo kung'ang'anizi Kwani hii ina ubaya gani, Ebu nambie
Rubii Mi mgumu kweli kweli kuelewa, yaani dahh I can't explain nilivyo kung'ang'anizi Kwani hii ina ubaya gani, Ebu nambie
rubii JF-Expert Member Feb 22, 2015 14,021 18,484 Mar 21, 2016 #6 mbere said: Rubii Mi mgumu kweli kweli kuelewa, yaani dahh I can't explain nilivyo kung'ang'anizi Kwani hii ina ubaya gani, Ebu nambie Click to expand... Ngoja waje
mbere said: Rubii Mi mgumu kweli kweli kuelewa, yaani dahh I can't explain nilivyo kung'ang'anizi Kwani hii ina ubaya gani, Ebu nambie Click to expand... Ngoja waje