Kitu gani katika picha hii cha kushangaza?

Kitu gani katika picha hii cha kushangaza?

Hao wenye Tai za rangi ya kufanana wanaonekana wanatoka nchi moja, labda ndo kwenye hiyo bendela ya Uingereza, huyo mwenye tai nyekundu yuko mmoja tu angekaa kwenye upande wa Bendera anayowakilisha.

Ila hapa ni sawa na Mkataba wa Karamagi, Mmbongo yuko peke yake Hotelini anauza nchi!
 
Mhe Balozi kanyoa kiduku kama cha BALOTELLI
 
huyo mweusi kanyoa panki,na mtu yoyte anayenyoa panki miaka hii ujue ana matatizo.
 
Back
Top Bottom