BINTI: Mama nimefaulu na nimechaguliwa kwenda UDOM.
MAMA: Hongera mwanangu, nilijua tu utafaulu, na bado nakuombea najua ipo siku utafika chuo kikuu!!!!
maza atakuwa kasoma shule za kikwete, unasukumwa tuuu, mradi kwenye hotuba aseme "mwaka 2005 wahitimu walikuwa 1240 tumejitahidi mpaka wamefika 12,399 mwaka 2009"
BINTI: Mama nimefaulu na nimechaguliwa kwenda UDOM.
MAMA: Hongera mwanangu, nilijua tu utafaulu, na bado nakuombea najua ipo siku utafika chuo kikuu!!!!
BINTI: Mama nimefaulu na nimechaguliwa kwenda UDOM.
MAMA: Hongera mwanangu, nilijua tu utafaulu, na bado nakuombea najua ipo siku utafika chuo kikuu!!!!
BINTI: Mama nimefaulu na nimechaguliwa kwenda UDOM.
MAMA: Hongera mwanangu, nilijua tu utafaulu, na bado nakuombea najua ipo siku utafika chuo kikuu!!!!
Hopefully,huu ni utani tu wala haukipunguzii chochote chuo kikuu cha dodoma....vijana tusijenge chuki...labda kweli mama alikuwa hajui.
Kwani hujaona unamwambia mtu naenda kituo cha mafuta yeye anakurekebisha,unaenda "shelly"?