BINTI: Mama nimefaulu na nimechaguliwa kwenda UDOM.
MAMA: Hongera mwanangu, nilijua tu utafaulu, na bado nakuombea najua ipo siku utafika chuo kikuu!!!!
Searching...100%
Loading...0%
Network failed !
What this ?
Hahahaaa..
Mama anadhalilisha Udom!
mbona sijaona dhamira ya mtoa mada..kwamba mama hajui kifupicho cha udsm na udom au basi tu kuhate wakati ye mwenyewe hamna alichogain?BINTI: Mama nimefaulu na nimechaguliwa kwenda UDOM.
MAMA: Hongera mwanangu, nilijua tu utafaulu, na bado nakuombea najua ipo siku utafika chuo kikuu!!!!
mbona sijaona dhamira ya mtoa mada..kwamba mama hajui kifupicho cha udsm na udom au basi tu kuhate wakati ye mwenyewe hamna alichogain?
ha? Kumbe!!!!!!!!!!!! Kata gani?udom si chuo cha kata ndio maana.
chimwaga? ndo wapi?kata ya chimwaga
ni kwamba mama anajua tanzania kuna chuo kikuu kimoja tu so hicho cha udom anadhani siyo chuo kikuu.mbona sijaona dhamira ya mtoa mada..kwamba mama hajui kifupicho cha udsm na udom au basi tu kuhate wakati ye mwenyewe hamna alichogain?
BINTI: Mama nimefaulu na nimechaguliwa kwenda UDOM.
MAMA: Hongera mwanangu, nilijua tu utafaulu, na bado nakuombea najua ipo siku utafika chuo kikuu!!!!