Teslarati
JF-Expert Member
- Nov 21, 2019
- 1,728
- 6,792
Aisee msema ukweli mpenzi wa Mungu, utamu wa kitimoto harufu ile.
Sasa siku hizi unakula kitimoto ila ni kama nyama ya ng'ombe tu.
Kipindi sie tunakua, miaka hiyooo, mzee basi akirudi na kitimoto nyumbani ile harufu tu inatosha kuwaamsha na kuwafanya mkae ubalazani kusubiri muitwe mtoe vyombe angalau ule vile vipisi vinavyobaki.
Kitimoto ya sikuhizi haina kabisa ile harufu yake original, wote mnaohusika na hili mnatufedhehesha sana sie wadau wa huyu mbuzi mkatoliki.
Nimemaliza.
Sasa siku hizi unakula kitimoto ila ni kama nyama ya ng'ombe tu.
Kipindi sie tunakua, miaka hiyooo, mzee basi akirudi na kitimoto nyumbani ile harufu tu inatosha kuwaamsha na kuwafanya mkae ubalazani kusubiri muitwe mtoe vyombe angalau ule vile vipisi vinavyobaki.
Kitimoto ya sikuhizi haina kabisa ile harufu yake original, wote mnaohusika na hili mnatufedhehesha sana sie wadau wa huyu mbuzi mkatoliki.
Nimemaliza.