Kitimoto iringa

mama dunia

JF-Expert Member
Joined
Dec 22, 2011
Posts
420
Reaction score
84
Nimetua iringa..nahitaji kujua sehemu gani hapa town ilio tulivuuu wanayochoma au kuroast kitimoto kizuurii nataka nikajipe raha jioni hii mwenzenu maana nina uchovu si wa kawaida...

Asante
 
Ni pm niko hapa ccm kwenye kitimoto...nafasi adimu hii
 
Ukishuka tu stendi hapo nje kidogo ya stendi kuna hotel Inaitwa MR HOTEL ulizia mtu maeneo ya hapo wapi mabanda ya CCM utakua umefika ni mita 200 tu.Nakumbuka sana mitaa hiyo hua nikienda Iringa sikosi hapo.Ila Take care
 
Ukishuka tu stendi hapo nje kidogo ya stendi kuna hotel Inaitwa MR HOTEL ulizia mtu maeneo ya hapo wapi mabanda ya CCM utakua umefika ni mita 200 tu.Nakumbuka sana mitaa hiyo hua nikienda Iringa sikosi hapo.Ila Take care

A-take care na nini mkuu funguka
 
inategemea na umefika wapi,kama upo mjini CCM ndo sehemu maarufu kwa iyo kitu apa iringa.
 
Waambie wakurostie mguu wa mbele na ndizi 2 pilipili kwa mbaali. Chumvi kwa mbaali shushia na castle lager briiid 7 pembeni awepo mtoto mpole wa kiiringa baadae mkayamalizie VALENTINE
 
Ukishuka tu stendi hapo nje kidogo ya stendi kuna hotel Inaitwa MR HOTEL ulizia mtu maeneo ya hapo wapi mabanda ya CCM utakua umefika ni mita 200 tu.Nakumbuka sana mitaa hiyo hua nikienda Iringa sikosi hapo.Ila Take care
Jina la mabanda ni tatizo sidhani hata k'moto itashuka
 
inategemea na umefika wapi,kama upo mjini CCM ndo sehemu maarufu kwa iyo kitu apa iringa.
Hayo mabanda ni ya ccm au ni jina tu. Je wanaokaanga ni wana ccm ?
Hakuna mabanda ya CHADEMA au VUF huko ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…