Nimetua iringa..nahitaji kujua sehemu gani hapa town ilio tulivuuu wanayochoma au kuroast kitimoto kizuurii nataka nikajipe raha jioni hii mwenzenu maana nina uchovu si wa kawaida...
Ukishuka tu stendi hapo nje kidogo ya stendi kuna hotel Inaitwa MR HOTEL ulizia mtu maeneo ya hapo wapi mabanda ya CCM utakua umefika ni mita 200 tu.Nakumbuka sana mitaa hiyo hua nikienda Iringa sikosi hapo.Ila Take care
Ukishuka tu stendi hapo nje kidogo ya stendi kuna hotel Inaitwa MR HOTEL ulizia mtu maeneo ya hapo wapi mabanda ya CCM utakua umefika ni mita 200 tu.Nakumbuka sana mitaa hiyo hua nikienda Iringa sikosi hapo.Ila Take care
Nimetua iringa..nahitaji kujua sehemu gani hapa town ilio tulivuuu wanayochoma au kuroast kitimoto kizuurii nataka nikajipe raha jioni hii mwenzenu maana nina uchovu si wa kawaida...
Waambie wakurostie mguu wa mbele na ndizi 2 pilipili kwa mbaali. Chumvi kwa mbaali shushia na castle lager briiid 7 pembeni awepo mtoto mpole wa kiiringa baadae mkayamalizie VALENTINE
Ukishuka tu stendi hapo nje kidogo ya stendi kuna hotel Inaitwa MR HOTEL ulizia mtu maeneo ya hapo wapi mabanda ya CCM utakua umefika ni mita 200 tu.Nakumbuka sana mitaa hiyo hua nikienda Iringa sikosi hapo.Ila Take care