Kitila Mkumbo: Ndalichako amekosea

Sifikiri kama serikali inaweza kuacha watu eti watu wafaulu tu ipate sifa ya muda,kwani mtunga sera ni nani?
 
wewe GPA unaielewaje(elezea ubaya wake)?,niambie uzuri wa division!,kivipi walimu wanatoa alama za bure?majibu aliyopewa na NECTA umeyaona?unahisi angeuboresha mfumo wa GPA bado usingefaa?.unakumbuka alivyokuwa anamshurutisha katibu matendaji amtaje kwa jina aliyeleta mfumo wa GPA!unajua ni kwa nini?.ipo haja ya kupata sera ya Elimu ambayo haitaruhusu mihemko hii kutokea,kwasababu haiwezekani katika nchi ya kidemokrasia mambo yaende kienyeji namna hii.
 
Hakuna sababu ya kutumia gharama kubwa kwa matokeo yale yale !!
Go on Prof. Ndalichako
^^
 
kumbe kuna kanuni za kufuata?ikiwa necta hawatotii maagizo yake itakuwaje?
 
Prof Kitila kazi yake si utafiti? aende sasa akafanye research mfumo upi ni bora na unaopendwa na jamii, coz kwa sasa hata yeye hana base ya kumlaumu waziri ambaye kimsingi alichofanya ni ku restore mfumo wa zamani. Mfano kwa kufuatilia comments mbalimbali za jamii wengi wanaunga mkono uamuzi wa waziri.
Profesa hajakosea kumkosoa mama Ndalichako, nadhani anakubaliana naye, sasa kama vipi wananchi waulizwe kuwa wanataka mgumo upi?
Ila thuu wa division wakati unaendelea ndio wananchi na wadau mbali mbali waulizwe..
 
Mfumo wa GPA ni international standard hapa cha kufanya wangerekebisha zile point zilizokuwa za division zitumike kwenye huu mfumo wa GPA. Kuwa na passmark limit watopata chini ya hapo wahesabiwe failures. Grading iwe ktk distinction, merit, credid na pass na fail badala ya division. That's my opinion
 
JPM hana budi kuunda tume ichunguze aina ya Uprofesa alionao Kitila
 
Inabidi baadhi ya vitu viwekwe kama Dogma katika nchi hii.

Baadhi ya mifumo hasa wa elimu unatakiwa uwe sticky na kila kiongozi akiingia aufuate.

Haya mambo ya kubadilibadili sio ishu, tunaharibu kizazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…