shetani mweusi
Senior Member
- Jun 30, 2014
- 132
- 116
Katika uchaguzi uliofanyika kata Aliozaliwa Kitila Mkumbo Mgombea aliemuunga mkono kitila Mkumbo Ameambulia kura Tisa tu huku Mgombea alieungwa Mkono na Mwigulu Nchemba Akiibuka kwa Ushindi wa kura za Kutosha.
Akiongea kwa Furaha Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kata hiyo Anaejulikana kwa jina la utani Mnyapaaa Alisema ushindi huo kisiasa ni salamu tosha kwa wale wote wasiomtakia Mema Mbunge wao na chaguo lao Mwigulu Nchemba
JIWE KUU WALILOLIKATAA WAASHI LIMEKUA JIWE KUU LA MSINGI YOYOTE ATAKAE LIANGUKIA ATAVUNJIKAVUNJIKA NA YOYOTE LITAKAEMWANGUKIA LITAMSAGA KABISA
Salamu kutoka Misigiri.
Sent using Jamii Forums mobile app
Akiongea kwa Furaha Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kata hiyo Anaejulikana kwa jina la utani Mnyapaaa Alisema ushindi huo kisiasa ni salamu tosha kwa wale wote wasiomtakia Mema Mbunge wao na chaguo lao Mwigulu Nchemba
JIWE KUU WALILOLIKATAA WAASHI LIMEKUA JIWE KUU LA MSINGI YOYOTE ATAKAE LIANGUKIA ATAVUNJIKAVUNJIKA NA YOYOTE LITAKAEMWANGUKIA LITAMSAGA KABISA
Salamu kutoka Misigiri.
Sent using Jamii Forums mobile app