Mafyangula
JF-Expert Member
- Jan 16, 2025
- 505
- 887
Muda huu hata wakiambiwa na wananchi walale chini kwenye tope ili wapate kura watalala tu!
==============
Leo Oktoba 7, 2025 Mgombea Ubunge wa jimbo la Ubungo Professa Kitila Mkumbo ameendelea na kampeni zake za nyumba kwa nyumba, mtaa kwa mtaa katika mtaa wa Kimara Baruti uliopo kata ya Kimara, Ubungo Dar es Salaam.
Pamoja na uwepo wa hali ya mvua Kitila aliendelea kuwatembelea waajiri wake(wananchi) kueleza aliyotekeleza pamoja na kuomba kura ili kupewa nafasi ya kuongoza kwa miaka mingine mitano.
Kitila aliambatana na mgombea Udiwani wa Kata ya Kimara Mhandisi Ismail Mvungi.
==============
Leo Oktoba 7, 2025 Mgombea Ubunge wa jimbo la Ubungo Professa Kitila Mkumbo ameendelea na kampeni zake za nyumba kwa nyumba, mtaa kwa mtaa katika mtaa wa Kimara Baruti uliopo kata ya Kimara, Ubungo Dar es Salaam.
Pamoja na uwepo wa hali ya mvua Kitila aliendelea kuwatembelea waajiri wake(wananchi) kueleza aliyotekeleza pamoja na kuomba kura ili kupewa nafasi ya kuongoza kwa miaka mingine mitano.
Kitila aliambatana na mgombea Udiwani wa Kata ya Kimara Mhandisi Ismail Mvungi.