Kitila alisema "Africa needs strong institutions and not strong men", sasa kazi kwako!

Barbarosa

JF-Expert Member
Apr 16, 2015
22,584
27,785
Kuna kipindi wakati anahojiwa nilisikia akisema tena akirudia mara nyingi sana na kumnukuu Obama kwamba ,,Africa needs strong Institutions and not strong men" na kwamba alisema Raisi Magufuli alipaswa kujenga Institutions au Taasisi, binafsi sikubaliani na hili kwani nilishindwa kuelewa ulimaanisha nini uliposema Taasisi, na ni Taasisi gani ambayo Raisi wetu anapaswa kuijenga ambayo haipo!

Sasa kazi kwako kujenga hiyo Taasisi uliokuwa unaoiongelea, na usiseme kwamba wewe siyo Raisi wa nchi kwani kama Katibu Mkuu wa Maji na Mifugo unaweza kujenga Taasisi ambayo itakuwa mfano kwenye hiyo Wizara ...

Kila la Heri Kitila Mkumbo (PhD)!
 
Heshima Mkuu!

Hivi unaweza kuwa na Stong institutions bila kuwa na Strong Men?.Akilihutubia bunge la Jamhuri ya watu wa Kenya "Rais Mstaafu wa Taifa la Marekani" Ndugu Barrack Obama aliamua kuwapasulia jipu Waafrika kuwa "Tunafeli kwasababu Institutions zetu nyingi ni Weak then kumejawa na wala rushwa.

Watu wa Fasihi wanaita "Je aliyoyasema yamesadifu jina la kitabu"?.Alimaanisha kuwa "We elect hyenas to take care of our resources" na si kama Kitila mkumbo alivyomaanisha.

Kila la kheri Kitila "Nadhani ni member humu,Tumuite na kumkumbusha".
 
Kuna kipindi wakati anahojiwa nilisikia akisema tena akirudia mara nyingi sana na kumnukuu Obama kwamba ,,Africa needs strong Institutions and not strong men" na kwamba alisema Raisi Magufuli alipaswa kujenga Institutions au Taasisi, binafsi sikubaliani na hili kwani nilishindwa kuelewa ulimaanisha nini uliposema Taasisi, na ni Taasisi gani ambayo Raisi wetu anapaswa kuijenga ambayo haipo!

Sasa kazi kwako kujenga hiyo Taasisi uliokuwa unaoiongelea, na usiseme kwamba wewe siyo Raisi wa nchi kwani kama Katibu Mkuu wa Maji na Mifugo unaweza kujenga Taasisi ambayo itakuwa mfano kwenye hiyo Wizara ...

Kila la Heri Kitila Mkumbo (PhD)!
Are strong institutions made up of strong gorillas ?! Strong men compose strong institutions !
 
Are strong institutions made up of strong gorillas ?! Strong men compose strong institutions !


Hilo swali ulipaswa umuulize Kitila Mkumbo na Obama, mimi nimenukuu tu waliyoyasema!
 
Government institutions are rigid. Hawezi kubadilisha institution yeyote ktk nafasi yake, zaidi ya kutengeneza na kuvunja vikamati vidogovidogo ndani ya Wizara. Na hata hapo lazima waziri mwenye dhamana aridhie. Kwa kifupi usitarajie atafanya kitu chochote tofauti na makatibu wa wizara nyingine. Mifumo ya serikali huwa huwezi kuibadilisha kirahisi kama unaendesha NGO. Isitoshe sidhani kama ana utaalamu wowote na mambo ya maji na umwagiliaji. Na hili ni tatizo ktk teuzi za Magufuli. Wataalamu hawapangiwi maeneo yanayoendana na utalaamu wao. Matokeo yake: skill mismatch and unproductivity.
 
Government institutions are rigid. Hawezi kubadilisha institution yeyote ktk nafasi yake, zaidi ya kutengeneza na kuvunja vikamati vidogovidogo ndani ya Wizara. Na hata hapo lazima waziri mwenye dhamana aridhie. Kwa kifupi usitarajie atafanya kitu chochote tofauti na makatibu wa wizara nyingine. Mifumo ya serikali huwa huwezi kuibadilisha kirahisi kama unaendesha NGO. Isitoshe sidhani kama ana utaalamu wowote na mambo ya maji na umwagiliaji. Na hili ni tatizo ktk teuzi za Magufuli. Wataalamu hawapangiwi maeneo yanayoendana na utalaamu wao. Matokeo yake: skill mismatch and unproductivity.


Hiyo sentensi ya mwisho kwamba Raisi hateuwi kulingana na utalaamu wa mtu siyo kweli, kwanza karibia kila aliyeteuliwa amepewa eneo ambalo ndilo ana utaalamu nalo, kuanzia Muhongo kapewa Madini, Mwakyembe alipewa Sheria sasa kaja huyu mwingine badla ya Mwakyembe naye ni mtu wa Sheria, Mama Ndalichako ni mtu wa Elimu na ndiyo eneo lake, Kigwangala ni Daktari na kapewa Wizara ya Afya, Ummy naye kapewa Wizara hiyo ya Afya na Mambo ya Jinsia na Familia, Mrema kapewa parole, Waziri Mpango kapewa Wizara ya Fedha ni Mchumi huyu tena wa Kimataifa, Nape mpaka anaaondolewa alikuwa Wizara ya Utamaduni na Michezo, Wizara ya Mambo ya Nje ina mzoefu wa muda mrefu sana na mambo ya Nje chini ya Waziri Mahiga, n.k.

Sasa ulitaka Raisi wa nchi afanye kipi kingine? Kama ukija kwa Makatibu na Manaibu wao karibia wote wamewekwa kwenye fani walizobobea Mashirika kama NSSF hivyo hivyo, hata Tume iliyoundwa juzi ya kuchunguza swala la Mchanga wa dhahabu ni Wataalamu wa hiyo fani watupu, sasa unamlaumu Raisi kivipi tena?
 
Strong Institution inatengenezwa na katiba sio mtu. Obama alikuwa anamaanisha Afrika kuwa na katiba ambazo hakuna mtu awaye yote kuwa juu ya sheria wala kinga juu ya uovu wowote anaofanya awe kiongozi au raia asiye kiongozi. Sasa unapokuwa na katiba ambayo Rais anakuwa na madaraka ya kufanya lolote hii ni tatizo...
 
Strong men compose strong institutions

My understating of building strong institutions as being pillars of economic development in many countries in the world; is having men and women with high- levels of integrity as leaders of the JUDICIARY, LEGISLATURE and the EXECUTIVE. Once you have respectable people leading these institutions, the rest that is required in good governance will fall in place!
 
Hiyo sentensi ya mwisho kwamba Raisi hateuwi kulingana na utalaamu wa mtu siyo kweli, kwanza karibia kila aliyeteuliwa amepewa eneo ambalo ndilo ana utaalamu nalo, kuanzia Muhongo kapewa Madini, Mwakyembe alipewa Sheria sasa kaja huyu mwingine badla ya Mwakyembe naye ni mtu wa Sheria, Mama Ndalichako ni mtu wa Elimu na ndiyo eneo lake, Kigwangala ni Daktari na kapewa Wizara ya Afya, Ummy naye kapewa Wizara hiyo ya Afya na Mambo ya Jinsia na Familia, Mrema kapewa parole, Waziri Mpango kapewa Wizara ya Fedha ni Mchumi huyu tena wa Kimataifa, Nape mpaka anaaondolewa alikuwa Wizara ya Utamaduni na Michezo, Wizara ya Mambo ya Nje ina mzoefu wa muda mrefu sana na mambo ya Nje chini ya Waziri Mahiga, n.k.

Sasa ulitakla Raisi wa nchi afanye kipi kingine? Kama ukija kwa Makatibu na Manaibu wao karibia wote wamewekwa kwenye fani walizobobea Mashirika kama NSSF hivyo hivyo, hata Tume iliyoundwa juzi ya kuchunguza swala la Mchanga wa dhahabu ni Wataalamu wa hiyo fani watupu, sasa unamlaumua Raisi kivipi tena?

Sure, kuna baadhi wapo kwenye nafasi zinazoendana na utalaamu wao. Mfano, mwalimu wangu Dr. Ndubalo katibu mkuu Utumishi. Ila wengi tu, including huyu Kitila hawapo kwenye nafasi zinazoendana na ujuzi wao. Sasa tujikite kwa Kitila, hebu nipe sababu za kwanini kawekwa wizara ya maji na umwagiliaji, na atafaa vipi kwenye hiyo nafasi. Twende Mkuu, usikimbie. Halafu tutakuja na kwa hao wengine.
 
Kuna kipindi wakati anahojiwa nilisikia akisema tena akirudia mara nyingi sana na kumnukuu Obama kwamba ,,Africa needs strong Institutions and not strong men" na kwamba alisema Raisi Magufuli alipaswa kujenga Institutions au Taasisi, binafsi sikubaliani na hili kwani nilishindwa kuelewa ulimaanisha nini uliposema Taasisi, na ni Taasisi gani ambayo Raisi wetu anapaswa kuijenga ambayo haipo!

Sasa kazi kwako kujenga hiyo Taasisi uliokuwa unaoiongelea, na usiseme kwamba wewe siyo Raisi wa nchi kwani kama Katibu Mkuu wa Maji na Mifugo unaweza kujenga Taasisi ambayo itakuwa mfano kwenye hiyo Wizara ...

Kila la Heri Kitila Mkumbo (PhD)!
Lakini usisahau kwamba anahitaji resources,political will na a conducive political environment.Kama hivi vyote vipo sina hakika.
 
Sure, kuna baadhi wapo kwenye nafasi zinazoendana na utalaamu wao. Mfano, mwalimu wangu Dr. Ndubalo katibu mkuu Utumishi. Ila wengi tu, including huyu Kitila hawapo kwenye nafasi zinazoendana na ujuzi wao. Sasa tujikite kwa Kitila, hebu nipe sababu za kwanini kawekwa wizara ya maji na umwagiliaji, na atafaa vipi kwenye hiyo nafasi. Twende Mkuu, usikimbie. Halafu tutakuja na kwa hao wengine.


Kitila Mkumbo amesomea psychology, unaelewa kwanza Elimu ya psychology ni nini? Ukielewa maana ya psychology basi hautashindwa kuelewa kwamba hata huko kwenye utatuzi wa tatizo la Maji anahitajika, watu wa psychology wako Hospitalini kuhudumia wagonjwa, Shuleni kusaidia watoto, Makazini kusaidia Wafanyakazi, hata Polisi hutumiwa na Askari pia, wapo kila mahali, hivyo jaribu kwanza kujielimisha kuhusu Elimu ya psychology labda utaelewa, ...
 
Huyu jamaa angeikataa hio post angejijengea sifa sana.

Ila sasaivi ameonekana ni mtu asiye na msimamo , amejionesha ni mtu mwenye njaa, asiyeaminika.

Natamani atumbuliwe siku za karibuni !
 
Kuna kipindi wakati anahojiwa nilisikia akisema tena akirudia mara nyingi sana na kumnukuu Obama kwamba ,,Africa needs strong Institutions and not strong men" na kwamba alisema Raisi Magufuli alipaswa kujenga Institutions au Taasisi, binafsi sikubaliani na hili kwani nilishindwa kuelewa ulimaanisha nini uliposema Taasisi, na ni Taasisi gani ambayo Raisi wetu anapaswa kuijenga ambayo haipo!

Sasa kazi kwako kujenga hiyo Taasisi uliokuwa unaoiongelea, na usiseme kwamba wewe siyo Raisi wa nchi kwani kama Katibu Mkuu wa Maji na Mifugo unaweza kujenga Taasisi ambayo itakuwa mfano kwenye hiyo Wizara ...

Kila la Heri Kitila Mkumbo (PhD)!
PhD Bashite
 
Huyu jamaa angeikataa hio post angejijengea sifa sana.

Ila sasaivi ameonekana ni mtu asiye na msimamo , amejionesha ni mtu mwenye njaa, asiyeaminika.

Natamani atumbuliwe siku za karibuni !


Angeikataa kwa ajili yako?
 
Back
Top Bottom