Kitenge vipi Diamond amekuchukulia mke au ni wivu tu?

Mi namtetea Kitenge. DAI hana adabu hawezi kuja kwa shughuli wakati Rais ameshaingia awe na heshima na raisi wetu. Yeye ni raisi wa wasafi full stop Hao mameneja wake wamfundishe akiwa a nakuja sehemu amabazo raisi wa nchi a nakuja asilete dharau hata kidogo. Heshima hainunuliwi hata kama ni rafiki wa JPM lazima amweshimu na si vinginevyo
Upuuzi mtupu......kwani pale ni kikaoni? Rais alikuwa ni mwenyekiti au? ...unajua maana ya protocal?boya kabisa wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kasema UKWELI BWANA mtu wenu nae kazidi kila mahali anataka kuwa DIAMOND tuuuuuu...kuna muda ajifunze kuwa NASSIB
 
Ndugu yetu huyu amekuwa akimuandama sana Diamond Platnumz, huwezi kuta akisuport kazi zake zaidi ya kuangalia mazaifu yake na makosa yake tu, huyu huyu kitenge baada ya Diamond kuachana na mama watoto wake Zari alienda hadi South Africa na kuingia nyumbani kwa Diamond na kupiga mapicha kibao ilimradi tu Diamond aumie

Na leo tena kapost akimponda Diamond kuwa kachelewa msibani, kwa nini usimfuate direct umkanye kama mdogo wako kama hayo sio majungu, Dogo kawakuta kwenye game na kawapita ndio maana mnamchukia mnasubiriaga watu wafe ndio muanze kutoa sifa wakati hapa duniani mlikuwa mnachukiana.

Sent using Jamii Forums mobile app
mhh
 
Upuuzi mtupu......kwani pale ni kikaoni? Rais alikuwa ni mwenyekiti au? ...unajua maana ya protocal?boya kabisa wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata kama sio mwenyekiti, Rais akishaingia mahali basi he the top. Kaangalie kwenye government orders za PROTOCOL and also for security purposes.
Kwa upande mwingine uwezi kumlinganisha raisi wetu na Dai hata kama umpendi Dai bado ni bwana mdogo tu kwa umri wa JPM hata kama sio Rais awe na adabu
 
Ndugu yetu huyu amekuwa akimuandama sana Diamond Platnumz, huwezi kuta akisuport kazi zake zaidi ya kuangalia mazaifu yake na makosa yake tu, huyu huyu kitenge baada ya Diamond kuachana na mama watoto wake Zari alienda hadi South Africa na kuingia nyumbani kwa Diamond na kupiga mapicha kibao ilimradi tu Diamond aumie

Na leo tena kapost akimponda Diamond kuwa kachelewa msibani, kwa nini usimfuate direct umkanye kama mdogo wako kama hayo sio majungu, Dogo kawakuta kwenye game na kawapita ndio maana mnamchukia mnasubiriaga watu wafe ndio muanze kutoa sifa wakati hapa duniani mlikuwa mnachukiana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Okay Ngoja waje watu wenye TIMU.
 
Upuuzi mtupu......kwani pale ni kikaoni? Rais alikuwa ni mwenyekiti au? ...unajua maana ya protocal?boya kabisa wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
Mweh kwa hiyo protokali ni vikaoni tu au had rais awe mwenyekiti? Mashabiki wa WCB msome some vimajarida na vitabu mjifunze vile Dunia inaenda msiishie kutazama nyegenyegezi haahaaa
 
Hivi protocol anayozungumza kitenge ni protocol gani,mimi ninavyojua viongozi wanakuwa wa kwanza kuaga alafu wengine ndio mnafuatia.Alafu hizo anoziita hekaheka mbona alivyoenda kuaga kwa Masogange Leaders na Mzee Majuto Karimjee kaenda na Mabodygurd sana kwa nini jana tu alalamike ,mbona siku zote hakulalamika.Mbona hamjiulizi kwa nini Mo anatembea na Mabodyguard mpaka Msikitini.

Alafu kasema eti Rais akifika kwenye tukio ,nyie wengine hamrugusiwi hii protocol ya wapi mbona kwenye tukio kama la msiba haliapply,huyu naye labda kuna lake analitaka kutoka kwa Mondi.Msiba si kikao ambacho useme boss akiingia hamna mwengine kuingia.
Rais alikuwa bado hajafika! Rais alifika mwishoni sana; sikiliza youtube kipindi dai yupo pale mlangoni alikuwa anaongea makonda; Rais amefika shughuli zote za kutoa usia zilisha.
 
Rais alikuwa bado hajafika! Rais alifika mwishoni sana; sikiliza youtube kipindi dai yupo pale mlangoni alikuwa anaongea makonda; Rais amefika shughuli zote za kutoa usia zilisha.

Protocol gani inayomzuia mtu asifike kwenye msiba iwe baada au kabla ya Rais kufika niambie wewe.Msiba sio kikao,kikao cha ofisi bosi ndiye mtu wa mwisho akifika yeye hamna mwengine kufika.
 
Hata kama sio mwenyekiti, Rais akishaingia mahali basi he the top. Kaangalie kwenye government orders za PROTOCOL and also for security purposes.
Kwa upande mwingine uwezi kumlinganisha raisi wetu na Dai hata kama umpendi Dai bado ni bwana mdogo tu kwa umri wa JPM hata kama sio Rais awe na adabu
Inategemea na Event,inamaa Rais akienda msibani hamna mwengine kuingia? au Kipindi kile Kikwete akiingia kutizama mpira ,yeye akiingia hamna mwengine kuingia? Protocol gani hizo.Nijuavyo mimi kwenye event kama ya msiba Rais anakuwa wa wanza kuaga ,haijalishi kaingia mda gani labda awe na dharula na wa kwanza kuondoka sababu ya security purpose.So protocol zina depend na event ,kwani msiba sio kikao cha ofisi.
 
Ndugu yetu huyu amekuwa akimuandama sana Diamond Platnumz, huwezi kuta akisuport kazi zake zaidi ya kuangalia mazaifu yake na makosa yake tu, huyu huyu kitenge baada ya Diamond kuachana na mama watoto wake Zari alienda hadi South Africa na kuingia nyumbani kwa Diamond na kupiga mapicha kibao ilimradi tu Diamond aumie

Na leo tena kapost akimponda Diamond kuwa kachelewa msibani, kwa nini usimfuate direct umkanye kama mdogo wako kama hayo sio majungu, Dogo kawakuta kwenye game na kawapita ndio maana mnamchukia mnasubiriaga watu wafe ndio muanze kutoa sifa wakati hapa duniani mlikuwa mnachukiana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani wewe ndo mke wa Diamond?
Mbona unamjibia wewe kama nani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inategemea na Event,inamaa Rais akienda msibani hamna mwengine kuingia? au Kipindi kile Kikwete akiingia kutizama mpira ,yeye akiingia hamna mwengine kuingia? Protocol gani hizo.Nijuavyo mimi kwenye event kama ya msiba Rais anakuwa wa wanza kuaga ,haijalishi kaingia mda gani labda awe na dharula na wa kwanza kuondoka sababu ya security purpose.So protocol zina depend na event ,kwani msiba sio kikao cha ofisi.
Sehemu aliyopo hakuna mtu anaruhusiwa kuingia akishaingia labda ukae nje.Kwa issue ya Kikwete kwenda mpirani kama ulikuwa unaingia unge note ile sehemu ya VIP imetengwa kidogo na akisha kaa uwezi kuingia tena sehemu ya VIP.Nenda kacheki ila sehemu nyingine wnaingia.Msiba the same ,ona atakapokuwa amekaa raisi uwa wote wanaokuja hata kama ni sehemu ya wazi huwa wanazuiwa mpaka atoke au wanakuwa directed sehemu nyingine kupita na sio sehemu alipo au kunako mzunguka.Check event zote ziwe za mkutano ,sherehe,msiba nk.
 
Mweh kwa hiyo protokali ni vikaoni tu au had rais awe mwenyekiti? Mashabiki wa WCB msome some vimajarida na vitabu mjifunze vile Dunia inaenda msiishie kutazama nyegenyegezi haahaaa
Kajaribu kuingia sehemu raisi ameingia uone kama utaingia.Msibishe kitu hajui
 
Back
Top Bottom