joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 15,157
- 31,737
Sehemu aliyopo hakuna mtu anaruhusiwa kuingia akishaingia labda ukae nje.Kwa issue ya Kikwete kwenda mpirani kama ulikuwa unaingia unge note ile sehemu ya VIP imetengwa kidogo na akisha kaa uwezi kuingia tena sehemu ya VIP.Nenda kacheki ila sehemu nyingine wnaingia.Msiba the same ,ona atakapokuwa amekaa raisi uwa wote wanaokuja hata kama ni sehemu ya wazi huwa wanazuiwa mpaka atoke au wanakuwa directed sehemu nyingine kupita na sio sehemu alipo au kunako mzunguka.Check event zote ziwe za mkutano ,sherehe,msiba nk.
Kwani Rais anakaa,viti vyote vya VIP,alafu Rais anapo hudhuria event yoyote huwaga TISS tayari washa set security permeter yao na wanajua Raisi atakaa sehemu gani, unaweza ukakuta VIP pale viti zaidi ya hamsini wamekaa wao TISS,vile vingene hata uchelewe as long una ticket yako ya VIP utaingia,ila lazima utakaguliwa kwa zile metal detector.
Dada yangu mimi mpira wa miguu ni mpenzi wa mpira kindaki ndaki na Taifa naenda ,hamna kitu kama hicho hamna sema anapokaa yeye huruhusiwi kukaribia ile perimeter waliyo iset na si kutokuingia VIP hamna kitu kama hicho. Mbona tumeona msiba wa Kanumba ,mbona unakuwa muongo hizi protocol mnazitoa wapi.
Protocol zipo ila zinadepend na event .