uliambiwa ITV ni ya mengi, Nenda England, ITV ipo vile vile na inaitwa hivyo hivyo independent television, sio kubaki hapo hapo dar na unashabikia vitu ambavyo huvifahamumwehu wewe Ulimsaidia MTAJI Mengi wa KUANZISHA hiyo ITV?
Nenda kaanzishe ya kwako utakayokuwa unatangaza chochote unachoota ukikolea kiroba
mwehu wewe Ulimsaidia MTAJI Mengi wa KUANZISHA hiyo ITV?
Nenda kaanzishe TV ya kwako utakayokuwa unatangaza chochote unachoota ukikolea kiroba.
kushinda kwa meya kinatokana na serikali?NIMEFURAHI SANA CCM KUSHINDA UMEYA WA KINONDONI!! Anayebisha aandamane aone!! chadema siasa zenu za matukio zishapitwa na wakati na mwaka huu mtalia hadi mtasaga meno!! serikali ya magufuli ni serikali makini sana
Ahahahah vipi Clouds bado unaangalia au iyo ulishaacha siku nyingi? Relax kula maisha hao wanasiasa hakuna chochote watakachokusaidiaNina mpango wa kuacha kuona itv kama nilivyo acha kuona tbc
Mm nilishafanya hvyo mda sana siangalii taarifa za habari za wahuni mmNina mpango wa kuacha kuona itv kama nilivyo acha kuona tbc