mr mkiki
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 5,583
- 11,659
- Thread starter
- #21
dead brainKisheria, habari bila chanzo cha habari ni uzushi. Mmesema waandishi walioruhusiwa kuingia ndani ni Uhuru publishers tu. Sasa ITV wangesema wameipata wapi hiyo habari??
Pili;
Si mwajua kuwa lazima kuangalia habari unayo i publish?? Pongezi zangu kwa yule mmama mkuu wa ITV. Kwa mwoga huenda kicheko lakini kwa shujaa kilio. B/up saana Joyce