swahiba Senior
JF-Expert Member
- Nov 12, 2016
- 2,479
- 3,613
Tatizo huwa Tunawatukuza Wazungu kuliko kujikubali,Nakumbuka ktk Msiba wa Stephen Kanumba Aliyekuwa kamishina wa Jeshi LA police kanda maalum ya Das'lam Suleiman Kova Alipiga Salute Ktk Jeneza LA marehem kanumba. Lakini cha Ajabu Badala ya kumpongeza mkaanza kubeza na kusema Mara nae ni Freemason ila daraja LA chini hivyo Kanumba Alikuwa boss wake yaani bla bla nyingi, wabongo umiza kichwa sana cjui nani kawaloga