Ijapokua wengi hua wanapata taabu sana kumuelewa Mrisho Mpoto lakini hakuna atakaebisha kua jamaa anaitendea haki fasihi, hebu sikilizeni huu wimbo wake mpya halafu mlete mrejesho. kiiitendwiiiili
yawezekana watu tunataka wote nyama but tusubili zijae ndani. hahahahaha. kasahau kuwa lazima upime upepo kama nyama zinaingizwa, wakati mwingine zikingia zinaoza na kutubwa. sasa tunaongoja lini zitajaaa?