Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,318
- 33,125
Jamani nina Swali langu linaniumiza kichwa nimeulizwa Swali mpaka sas sijapata jibu kutoka akilini mwangu kuna watu wameniuliza swali lenyewe ni hli (Je Anayefaa kuitwa neno Mzazi ni baba Au Mama?) na ni kwanini aitwe Mzazi ?Nawaombeeni majibu toka kwenu ndugu zangu Mubarikiwe haya tena mchanga wa pwani huo mimi simooooooooo