Kitchen Party Bubu: Nafasi ya mke ndani ya ndoa (Kwa wanawake tu) With Love to You Cheusie

Alternatively ni kutoka zile outin za mchana; lunch. Zina work saana; kwani mnaweza toka na mtoto mchanga pia. That is what I usually do nikiwa na watoto wadogo. Nashukuru Mungu wanangu wamekua sasa. Ila asikwambie mtu huwezi kuwa na watoto wadogo na ukang'ang'ania maisha yaende kama zamani; unless you are a bad mom.

Sasa badugu labda kama ni house wife..hebu niambie katika wiki nzima unapata masaa mangapi ya kukaa na watoto?maana kwa hali halisi kila asubuhi uko barabarani kuwahi foleni kuingia nyumbani tena hadi usiku mtoto hapati malezi ya kutosha ..mara mdada naye anatembelewa na mlinzi wa jirani who knowz watoto wanaona mengi hadi huruma ..kifupi watoto nao wanahitaji att zetu sana. tukisema baba na mama evry wkend muandamane sijui itakuwaje lol labda tuseme mama ashinde na watoto wakishalala ndio umfwate hubby
 
wanawake walioko kwenye mchakato wa kuelekea kwenye ndoa, hili ni darasa maalum kwenu, hapo mshindwe wenyewe kuzifanya ndoa zenu ziwe ni sehemu kubwa ya burudani, badala ya kuwa kero. sasa kazi ni kwenu tu, kuyafanyia kazi hayo maujuzi.

Heshima kwako AshaDii, hakika wewe ni kisima kilichosheheni busara na hekima............... Pamoja Daima!
 
Alternatively ni kutoka zile outin za mchana; lunch. Zina work saana; kwani mnaweza toka na mtoto mchanga pia. That is what I usually do nikiwa na watoto wadogo. Nashukuru Mungu wanangu wamekua sasa. Ila asikwambie mtu huwezi kuwa na watoto wadogo na ukang'ang'ania maisha yaende kama zamani; unless you are a bad mom.

Nyumba kubwa hapo umesema na kumaliza yote...pia kwa uzoefu wangu wanaume wenye akili zao huwa wanashangaa kuona mwanamke aking'ang'ana naye na kuacha mtoto nyumbani hatutegemei hayo kwa hawa wadodo zetu watakaoolewa soon
 
AshaDii Big Up...Umemtendea haki bi mdogo kwa kumpatia maangalizo haya. Nami nikiwa mwanandoa - wa miaka 15, nimsisitizie tu kuwa maisha ni wao wawili....akafurahie maisha kuanzia siku ya kwanza na azibe masikio kwa wale walioko busy kutishia wenye ndoa changa eti subiri ifikishe miaka 2, 3, 4, mume ataanza kubadilika..mabadiliko ni matokeo tu! Kwa mfano, utakuta wakati wa uchumba, wapendanao wanapiga dates za kufa mtu; lakini baada ya ndoa na kupata ujauzito, mke anaanza kukataa outings, mtoto akizaliwa ndio usiseme...matokeo yake mume ana-conclude kuwa mke wake hapendi kutoka hivyo anaanza kutoka kivyake vyake na huo ndio unakuwa mwisho wa mume kumpa outings tena mke wake.....ndo keshazoea kutoka kivyake ati!!

outing na mtoto kipi muhimu, naamini miezi 6 ya kwanza mama anatakiwa kuwa karibu sana na mtoto na pia kama ni mitoko ya muda mfupi tu si outing za kuanzia saa 11 hadi 6 usiku hapo kuna kutomtendea haki mtoto ... mambo ya kusikiliza nini watu wanasema si vyema kwani wengi wachonganishi
 
hehehehe ijapokuwa mimi ni mwanaume nitachangangia
kuna maneno haya muhimu
1.ahsante
2.Samahani/naomba unisamehe
3.Nakupenda
4.Pole
maneno haya ni marahisi lkn magumu kutamka. ukisamehe samehe na kusahau ni mwiko kwa mume kutokula chakula alichoandaa mkewe hata kama amekula sehemu nyingine. Ishini kama mume na mke huku urafiki na upendo ukitawala zaidi. Hata kama mmegombana msipende majirani/watoto wajue kuwa kuna ugomvi ndani ya nyumba yetu ni bora mmalizani wenyewe kimya na kasimba123 akipiga hodi mkaribisheni kwa tabasamu kama vile hakuna ugomvi. Sameheaneni kabla hamjapanda kitandani kulala kwani haipendezi mkilala huku mmenuniani hamtaweza kuamka na amani na hamtakuwanafuraha usiku wakati uongo unatakiwa kupumzika na kuwa na afya kuliko kufikiria migogoro. kumbukeni LOVE IS A PROCESS AND NOT A DESTINATION. pendaneni na heshimianeni na kila mmoja atambue majukumu yake kama mke au mume. Ikitokea mmoja anahasira akafoka mmojawapo inabidi awe chini kumtuliza mwenzake na baada ya hapo nendeni chumbani na muongelee nini tatizo na mtalitatuajea ombaneni msamaha sameheaneni na msahau. ni mwiko kugombani wakati watoto wanawashuhudia kwani watajenga chuki kwa baba yao kama unavyojua muda mwingi wako upande wa mama na huona mama anaonewa vile vile itawaathiri kisaikolojia na kuwafanya waige tabia ambayo siyo nzuri. Kumbuka sio ushauri wote utakaopewa na shoga au rafiki zako ni mzuri kwani si mashoga wote ulionao wanafurahia wewe kuwa kwenye ndoa hivyo si mambo yote yahusuyo nyumbani kwako ukawaeleza mengine ni siri kati yako na mumeo

kumbuka ndoa sio tendo la ndoa tu

Nakutakia ndoa njema Cheusii iwe na amani upendo na mungu awajaliie riziki na awaepushe na shetani ili asiwavurugu
 
hehehehe ijapokuwa mimi ni mwanaume nitachangangia
kuna maneno haya muhimu
1.ahsante
2.Samahani/naomba unisamehe
3.Nakupenda
4.Pole
Nakutakia ndoa njema Cheusii iwe na amani upendo na mungu awajaliie riziki na awaepushe na shetani ili asiwavurugu


Haya sasa imekuwa summarizd tena na mkaka ...imetulia lol ..tena yapasa kusema pole baada ya kipozeo kwa maana mmmm kigugumizi jama
 
Jambo kubwa katika maisha ya binadamu yakila siku ni UPENDO. Mpendo mumeo with all your heart. maandiko ya bible yanasema UPENDO huvumilia, hauhusudu, haujivuni, hauhesabu mabaya n.k. ukimpenda mwenzako kwa dhati, utamvumilia hata alipo na mapungufu, hautamuhesabia mabaya hat akikosa mara ngapi utamsamehe na utasahau n.k n.k With you al the best
 
Back
Top Bottom