hashim mwamba
JF-Expert Member
- Sep 2, 2016
- 1,018
- 1,105
Ntk kitanda weka picha
dah nkastuka maana nazo zimeonekana nkadhani nazo naweza kufika bei maana huku kijijini kwetu ni vitu adimu sana MkuuKufuri mkuu ila haziuzwi
Haa Haa Haa pamoja mkuu huko kijijini wanamuongelea vip mkuu wa nchidah nkastuka maana nazo zimeonekana nkadhani nazo naweza kufika bei maana huku kijijini kwetu ni vitu adimu sana Mkuu
yaani wananchi wa kawaida wanafurahi kupita maelezo,wanaona raha sana wanaposikia fulani alikuwa anakula pesa ya serikali kwa njia isiyo halali au kwa kukweba, wakisikia jipu wanafurahi mnoo...Haa Haa Haa pamoja mkuu huko kijijini wanamuongelea vip mkuu wa nchi
Duh kweli kijijini na ccm wamefunga ndoayaani wananchi wa kawaida wanafurahi kupita maelezo,wanaona raha sana wanaposikia fulani alikuwa anakula pesa ya serikali kwa njia isiyo halali au kwa kukweba, wakisikia jipu wanafurahi mnoo...
Me nahisi ni kwa sababu wao walikuwa hawayafaidi hayo manoti aisee ka namna yoyote ileee!!
Fuatilia picha nimewekaNtk kitanda weka picha
Ntakupa bureHivo vispika huuzi???
Asante mkuu ubarikiweNtakupa bure
80000 mkuusofa IPO??sh ngapi?
mkuu mbona ninaku pm haujibu au hy dressing table ilisha nunuliwa kama bd nicheki kwa 065986563980000 mkuu
Nipo Dsm kwa sasa
Kwi kwi kwi..Asante mkuu ubarikiwe
mkuu ni pm namba yako nije kuchukua hy. dressing tableKufuri mkuu ila haziuzwi
Vip ulipata sofa kimywsofa IPO??sh ngapi?
Uliahirisha dressing tablemkuu mbona ninaku pm haujibu au hy dressing table ilisha nunuliwa kama bd nicheki kwa 0659865639
Upo wapiNtk kitanda weka picha