Kitanda, sofa, dressing table na laptop vinauzwa

Kitanda, sofa, dressing table na laptop vinauzwa

Kitanda cha mbao 5*6 box design-200,000/=,dressing table simple ya mbao-80,000/=, laptop acer portable nyeusi-275,000/=, sofa leather la watu wawili hadi watatu-85,000/=kwa anayehitaji nakutumia picha pm, makubaliano yanaruhusiwa, kuhama na vitu kwenda mkoa mwingine ni shida,ukihitaji picha na ku pm, asanteni
mkuu ni Pm namba yako na niambie unakaa mtaa gani nije kuzoa vyote hivyo, na kuna kingine ambacho umekisaha utaongezea hapo
 
Nimeangalia hivyo vitu vyako naona kama haviuziki kabisa..!!
sasa hilo ni sofa au makazi ya panya..?
Na hiyo ni laptop au tv tumbo?
Anyway labda camera uliyo tumia haina ubora, acha tuamini hivyo..
 
Nimeangalia hivyo vitu vyako naona kama haviuziki kabisa..!!
sasa hilo ni sofa au makazi ya panya..?
Na hiyo ni laptop au tv tumbo?
Anyway labda camera uliyo tumia haina ubora, acha tuamini hivyo..
kiukweli hivyo vitu havivitii kabisa, vya kizamani mno
 
Nimeangalia hivyo vitu vyako naona kama haviuziki kabisa..!!
sasa hilo ni sofa au makazi ya panya..?
Na hiyo ni laptop au tv tumbo?
Anyway labda camera uliyo tumia haina ubora, acha tuamini hivyo..
Camera ni ya kizamani vitauzika tu hata kwa bei ya kutupwa
 
Mkuu kwenye kioo kinachoonekana kimetundikwa nyuma ya mlango ni kitu gani aisee najaribu kupepesa macho nshashindwa kung'amua dah ntaaza kuula mchicha sooon.
Samahani lakini kama ntakuwa nimeenda nje ya mada maana hata kwenye mambo mengine bonus huwepo!
Kufuri mkuu ila haziuzwi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom