Kitanda, sofa, dressing table na laptop vinauzwa

Kitanda, sofa, dressing table na laptop vinauzwa

wabongo bwana Sasa unavyosema uko Dar es salaam kwa Sasa sisi inatusaidia Nini ?
Yaani wewe umekurupuka ghafla na kwa vile msiba wa jana maharagwe yalitamaraki unakimbilia kujamba kwenye post yangu, kuna ubaya gani kusema nilipo
 
Mkuu kwenye kioo kinachoonekana kimetundikwa nyuma ya mlango ni kitu gani aisee najaribu kupepesa macho nshashindwa kung'amua dah ntaaza kuula mchicha sooon.
Samahani lakini kama ntakuwa nimeenda nje ya mada maana hata kwenye mambo mengine bonus huwepo!
Kyaa! Kyaaa! Kyaaa! Wee jamaa mkorofi sana, eti bonus vyupiii....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom