My story
Member
- Jun 9, 2019
- 23
- 3
Hii si ya kukosa kabsa kitanda na godoro lake vinauzwa bei sawa na bure. Godoro ni Tanfom nchi 10 na kitanda chake cha chuma..vyote ni vipya.
Location ni nzega Tabora..
Pia kama utahitaji na chumba naweza kukuachia nimelipia miezi mitatu..kodi ni 50k kwa mwezi ila ukinipa laki inatosha..
Godoro nimenunua 350k kitanda 240k ila mimi Kitanda na godoro vyote nauza 470k tu.
Sababu ya kuuza.
Nililetwa kikazi huku mwezi huu nikanunua hivyo ila sasa nimepata uhamisho wa kwenda Tunduma nikiwa sijamaliza hata mwezi huku.
Kama utavihitaji karibu PM.
Location ni nzega Tabora..
Pia kama utahitaji na chumba naweza kukuachia nimelipia miezi mitatu..kodi ni 50k kwa mwezi ila ukinipa laki inatosha..
Godoro nimenunua 350k kitanda 240k ila mimi Kitanda na godoro vyote nauza 470k tu.
Sababu ya kuuza.
Nililetwa kikazi huku mwezi huu nikanunua hivyo ila sasa nimepata uhamisho wa kwenda Tunduma nikiwa sijamaliza hata mwezi huku.
Kama utavihitaji karibu PM.