Hahahahaha......Umegongea weeee mpk kimechakaa ndio unataka kutuuzia sisi tukabwe na majinamizi usiku. Kakigawe
Umegongea weeee mpk kimechakaa ndio unataka kutuuzia sisi tukabwe na majinamizi usiku. Kakigawe
Wabongo bwana, ukiambiwa ukweli aliyekwambia unamfokea. Halafu mie zivai mitumba nchi niliyopo nguo tunavaa mpya tu mitumba mnavaa nyie. All in all hicho kitanda kama unauza ili ununue kingine cha kisasa, nakushauri uki-upgrade tu hicho hicho mafundi wakaongeza vionjo vipya vya kisasa ukawa na bed kali tu inayoenda na wakati. Hiyo mbao ni hardwood usiipoteze, kibadilishe tu muone fundi mkali anakurekebeshiaMbona nguo za mtumba kutoka ulaya (kwa washenzi) unavaa na wala hulalamiki kwamba zinatoa harafu ya jasho la mabeberu !!!🤣--- ajabu mswahili mwenzako anakuuzia kitanda unadai eti "kakigongea" na kimechoka ndipo anakiuza, kwani wewe umethibitishaje na hata kama ni kweli wewe linakuhusuje???!!🤣
Alikuwa analalia padri wa katoliki? Halafu umejibu kiungwana sana inaonekana umesoma marketing na ukaielewa. Ningekuwa Bongo ningekinunua kukuungisha tu kutokana na ustaarabu wakoHapana. Hakikufanyiwa jambo lolote
Mapadri wa Katoliki wanatafunaga nyapu za masista kama kawa. Nenda kaulize chanzo cha Padri Dastan kuhamishwa pale Ngokolo Shinyanga kwenda Misungwi Mwanza.Alikuwa analalia padri wa katoliki? Halafu umejibu kiungwana sana inaonekana umesoma marketing na ukaielewa. Ningekuwa Bongo ningekinunua kukuungisha tu kutokana na ustaarabu wako