Kitanda 5×6 kinauzwa

Kitanda 5×6 kinauzwa

Hum mnajikutaga matajiri wote usikute mnavyolalia vinatia aibu ila sasa kwa kukosoa vya wenzenu... Wekeni vyenu tuone acheni upuuzii kama huwezi kununua na huna hela si upite hivi kuliko kuponda?
hata kama una hela ndio ununue hicho kitanda laki sita kweli? wachana tu na hiyo hela anayotaka kuuza yeye😆
 
hata kama una hela ndio ununue hicho kitanda laki sita kweli? wachana tu na hiyo hela anayotaka kuuza yeye😆
mkuu wewe kama hauhitaji kuna mtu mwingine atahitaji..na pia kama wewe hujapenda design hiyo ni taste yako....sio lazima kila mtu apende unachopenda wewe

bei niliyotengenezea kwa kila kitu hapo ndo hiyo nililizika nayo.......na bei nayouzia ndo hiyo hiyo nimepanga...kwa atakae hitaji na ana hela pungufu ndo anatakiwa kunitafuta niongee nae..

saa nyingine jitahidi kuficha ujinga wako mkuu
 
mkuu wewe kama hauhitaji kuna mtu mwingine atahitaji..na pia kama wewe hujapenda design hiyo ni taste yako....sio lazima kila mtu apende unachopenda wewe

bei niliyotengenezea kwa kila kitu hapo ndo hiyo nililizika nayo.......na bei nayouzia ndo hiyo hiyo nimepanga...kwa atakae hitaji na ana hela pungufu ndo anatakiwa kunitafuta niongee nae..

saa nyingine jitahidi kuficha ujinga wako mkuu
SAWA MWEREVU....ILA HANUNUI MTU LABDA MWEHU😄...!
 
Hum mnajikutaga matajiri wote usikute mnavyolalia vinatia aibu ila sasa kwa kukosoa vya wenzenu... Wekeni vyenu tuone acheni upuuzii kama huwezi kununua na huna hela si upite hivi kuliko kuponda?
Sauti ya msukuma kabisa hii
 
Hum mnajikutaga matajiri wote usikute mnavyolalia vinatia aibu ila sasa kwa kukosoa vya wenzenu... Wekeni vyenu tuone acheni upuuzii kama huwezi kununua na huna hela si upite hivi kuliko kuponda?
Sawa Ngosha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom