Uchaguzi 2020 Kitakachombeba Tundu Lissu uchaguzi 2020

technically

JF-Expert Member
Jul 3, 2016
11,975
48,843
Kitakachombeba Tundu Lissu mwaka huu ni yeye Kama mgombea kuuzika as personal yaani anakibeba chama

Kingine ni yeye kuja na slogan ya Kipekee kabisa toka kuanzishwa kwa vyama vingi ya uhuru, Haki na Maendeleo.

CCM ya Magufuli kutokuwa na slogan kwa Mara ya kwanza toka tupate uhuru.

Mwalimu Nyerere alikuwa na slogan ya Uhuru na umoja, Uhuru na madeleo,

Akaja pia na slogan ya maadui watatu Yaani ujinga maradhi na umasikini.

Mwinyi alikuja na Ruksa

Mkapa akaja na ubinafisishaji, uwekezaji na Serikali ya viwango

Kikwete akaja na Maisha Bora kwa kila mtanzania

Pia kilimo kwanza

Sasa hapa kazi imefeli hana slogan anaenda enda tu hawapi wanachi matumaini .

Anguko la Magufuli lipo wazi uchaguzi huu ni kiongozi hasiye na dira kwa taifa lake.
 
Magufuli anaenda sera ya hapa kazi tu kama wewe ni mzembe huwezi kuelewa Ndio maana wale waliozoea maisha ya kiujanja janja km nyie mnabweka

Chadema hatujasahau mlisema kilimo kwanza ya kikwete ni kwa ajili ya viongozi sio wakulima, Vipi leo mmesahau

Yule mropokaji na msaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert tu Sisi Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania
 
Msimfariji tu mzee wa watu bure ! Mwambieni tu ukweli hawezi kupata hata asilimia kumi za kura za watanzania. Baaada ya 28 oct mtamuona anarudi kwao ubelgiji ! Unasema JPM hana slogan nikuambie tu labda hujui! Slogan ya JPM ni hii " Tumetekeleza kwa kishindo tunasonga mbele pamoja!" .. Yaani kuna kuna mgombea ana ahadi hewa! Na mwingine ana vitu tangible/Reality .. Tumechagua kwenda na reality ,tarehe 28 Oct!.
 
Kitakachombeba Tundu Lissu mwaka huu ni yeye Kama mgombea kuuzika as personal yaani anakibeba chama

Kingine ni yeye kuja na slogan ya Kipekee kabisa toka kuanzishwa kwa vyama vingi ya uhuru, Haki na Maendeleo.

CCM ya Magufuli kutokuwa na slogan kwa Mara ya kwanza toka tupate uhuru.

Mwalimu Nyerere alikuwa na slogan ya Uhuru na umoja, Uhuru na madeleo,

Akaja pia na slogan ya maadui watatu Yaani ujinga maradhi na umasikini.

Mwinyi alikuja na Ruksa

Mkapa akaja na ubinafisishaji, uwekezaji na Serikali ya viwango

Kikwete akaja na Maisha Bora kwa kila mtanzania

Pia kilimo kwanza

Sasa hapa kazi imefeli hana slogan anaenda enda tu hawapi wanachi matumaini .

Anguko la Magufuli lipo wazi uchaguzi huu ni kiongozi hasiye na dira kwa taifa lake.
Mgombea bora anayeuzika yeye kamayeye then na chama chake bora
 
Kitakachombeba Tundu Lissu mwaka huu ni yeye Kama mgombea kuuzika as personal yaani anakibeba chama

Kingine ni yeye kuja na slogan ya Kipekee kabisa toka kuanzishwa kwa vyama vingi ya uhuru, Haki na Maendeleo.

CCM ya Magufuli kutokuwa na slogan kwa Mara ya kwanza toka tupate uhuru.

Mwalimu Nyerere alikuwa na slogan ya Uhuru na umoja, Uhuru na madeleo,

Akaja pia na slogan ya maadui watatu Yaani ujinga maradhi na umasikini.

Mwinyi alikuja na Ruksa

Mkapa akaja na ubinafisishaji, uwekezaji na Serikali ya viwango

Kikwete akaja na Maisha Bora kwa kila mtanzania

Pia kilimo kwanza

Sasa hapa kazi imefeli hana slogan anaenda enda tu hawapi wanachi matumaini .

Anguko la Magufuli lipo wazi uchaguzi huu ni kiongozi hasiye na dira kwa taifa lake.
Hiyo akili yako imejaa vunza, hapa kazi tuu ndo inafanya wewe unaweweseka
 
Magufuli amesusa kuendelea na kampeni zilizopangwa kufanyika kwa siku 4 jijini DSM baada ya kubaini kuwa Polepole na Bashiru wanamdanganya.

Ameiabika Sana kule Zanzibar, na ameaibika Jana pale uwanja wa Mkapa. Kwwsabb mara baada tu ya wasanii kumaliza kutumbuiza watu wakaanza kuondoka na kumuacha peke yake.

Hii imemkatisha Sana tamaa.
 
Magufuli anaenda sera ya hapa kazi tu kama wewe ni mzembe huwezi kuelewa Ndio maana wale waliozoea maisha ya kiujanja janja km nyie mnabweka

Chadema hatujasahau mlisema kilimo kwanza ya kikwete ni kwa ajili ya viongozi sio wakulima, Vipi leo mmesahau?




Yule mropokaji na msaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert tu Sisi Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania
Na wewe je?
 
Kitakachombeba Tundu Lissu mwaka huu ni yeye Kama mgombea kuuzika as personal yaani anakibeba chama

Kingine ni yeye kuja na slogan ya Kipekee kabisa toka kuanzishwa kwa vyama vingi ya uhuru, Haki na Maendeleo.

CCM ya Magufuli kutokuwa na slogan kwa Mara ya kwanza toka tupate uhuru.

Mwalimu Nyerere alikuwa na slogan ya Uhuru na umoja, Uhuru na madeleo,

Akaja pia na slogan ya maadui watatu Yaani ujinga maradhi na umasikini.

Mwinyi alikuja na Ruksa

Mkapa akaja na ubinafisishaji, uwekezaji na Serikali ya viwango

Kikwete akaja na Maisha Bora kwa kila mtanzania

Pia kilimo kwanza

Sasa hapa kazi imefeli hana slogan anaenda enda tu hawapi wanachi matumaini .

Anguko la Magufuli lipo wazi uchaguzi huu ni kiongozi hasiye na dira kwa taifa lake.
Rubbish
 
Kitakachombeba Tundu Lissu mwaka huu ni yeye Kama mgombea kuuzika as personal yaani anakibeba chama

Kingine ni yeye kuja na slogan ya Kipekee kabisa toka kuanzishwa kwa vyama vingi ya uhuru, Haki na Maendeleo.

CCM ya Magufuli kutokuwa na slogan kwa Mara ya kwanza toka tupate uhuru.

Mwalimu Nyerere alikuwa na slogan ya Uhuru na umoja, Uhuru na madeleo,

Akaja pia na slogan ya maadui watatu Yaani ujinga maradhi na umasikini.

Mwinyi alikuja na Ruksa

Mkapa akaja na ubinafisishaji, uwekezaji na Serikali ya viwango

Kikwete akaja na Maisha Bora kwa kila mtanzania

Pia kilimo kwanza

Sasa hapa kazi imefeli hana slogan anaenda enda tu hawapi wanachi matumaini .

Anguko la Magufuli lipo wazi uchaguzi huu ni kiongozi hasiye na dira kwa taifa lake.
Wewe na Lissu wote ni magay tu
 
Wewe kumbe ni mbumbumbu la kutupwa. nimesoma bango la Magu linasema kazi zaidi, japo yeye mwenyewe haioni kiwa na mantiki ya iyo slogan as the result hata haitumii majukwaani
Magufuli anaenda sera ya hapa kazi tu kama wewe ni mzembe huwezi kuelewa Ndio maana wale waliozoea maisha ya kiujanja janja km nyie mnabweka

Chadema hatujasahau mlisema kilimo kwanza ya kikwete ni kwa ajili ya viongozi sio wakulima, Vipi leo mmesahau?




Yule mropokaji na msaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert tu Sisi Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania
 
Kitakachombeba Tundu Lissu mwaka huu ni yeye Kama mgombea kuuzika as personal yaani anakibeba chama

Kingine ni yeye kuja na slogan ya Kipekee kabisa toka kuanzishwa kwa vyama vingi ya uhuru, Haki na Maendeleo.

CCM ya Magufuli kutokuwa na slogan kwa Mara ya kwanza toka tupate uhuru.

Mwalimu Nyerere alikuwa na slogan ya Uhuru na umoja, Uhuru na madeleo,

Akaja pia na slogan ya maadui watatu Yaani ujinga maradhi na umasikini.

Mwinyi alikuja na Ruksa

Mkapa akaja na ubinafisishaji, uwekezaji na Serikali ya viwango

Kikwete akaja na Maisha Bora kwa kila mtanzania

Pia kilimo kwanza

Sasa hapa kazi imefeli hana slogan anaenda enda tu hawapi wanachi matumaini .

Anguko la Magufuli lipo wazi uchaguzi huu ni kiongozi hasiye na dira kwa taifa lake.
Huyuuu jaamaa yenu ambaye ameshawajibishwa mapeema kwa utovu wa nidhamuu. Toka lini ukaona mtu mwenye utovu wa nidhamu anakuwa kiranja??
 
Back
Top Bottom