Ndugu ni kwel kwamba kwa sasa itakua vigum kuamin kwa walio wengi. Ukwel utabaki palepale kwamba ccm bado ni chama makn na kinakubalika kwa walio weng hvyo ushnd wa dr. Maguful upo waz zaid ya edo. Siasa ni mabadilko lakn kwa walchokifanya ukawa bado muda wao labda 2050 baada ya ccm kukosa viongoz bora. Ndo waanze kudai kuiondoa ccm madarakani