Kitakachojil uchaguz mkuu 2015

Kitakachojil uchaguz mkuu 2015

MUHAYAA

Member
Joined
Jul 6, 2015
Posts
34
Reaction score
9
Ndugu ni kwel kwamba kwa sasa itakua vigum kuamin kwa walio wengi. Ukwel utabaki palepale kwamba ccm bado ni chama makn na kinakubalika kwa walio weng hvyo ushnd wa dr. Maguful upo waz zaid ya edo. Siasa ni mabadilko lakn kwa walchokifanya ukawa bado muda wao labda 2050 baada ya ccm kukosa viongoz bora. Ndo waanze kudai kuiondoa ccm madarakani
 
Unaota Wewe..Hakuna Dalili Zozote za Kuiokoa Sisiem Isiangukie Pua. Mbinu zote za Wizi Wa Kura Hilo Wasahau Kabisa. Kwenye Sanduku

la Kura Mpaka sasa Mgombea Wa CCM Ni Taabani. Refer.. Tafiti zote, Wapiga Ramli wote na Hata Wale Watabiri wa Chanel 10 , Wote

Wanaona Chenga Tu Kwenye Ubashiri Wao.

NB: Safar Hii Hakuna Cha Synovate wala REDET Wote Kimya...Wanajua CCM Ipo ICU. We Usicheze Na UKAWA. Mnajipa Matumaini Eti Ni

Moto Wa Mabua... Kwa Taarifa Yao Moto wa Mabua Ni Kiboko Sebule.
 
Maguful anajtosheleza wakuu sion sabab ya kumbeza kwan wote tunajua kwamba yey ni mtendaj wa mamb na hana maneno matupu kama viongoz wengne.
 
Sio ndoto mkuu subil majb utayapata baada ya uchaguz oct.
 
Hii statement ya ushindi asubuhinimekaa vzr sana inahamasihsa watu wawahi
 
Maguful anajtosheleza wakuu sion sabab ya kumbeza kwan wote tunajua kwamba yey ni mtendaj wa mamb na hana maneno matupu kama viongoz wengne.
MUHAYAA wa wapi zwazwa kiasi hiki wewe???
 
Last edited by a moderator:
Maguful anajtosheleza wakuu sion sabab ya kumbeza kwan wote tunajua kwamba yey ni mtendaj wa mamb na hana maneno matupu kama viongoz wengne.

Sifa unazotoa kwa magufuli ni sahihi kabisa lkn naona kiongozi ulisoma ngumbaru coz naona hakuwa kufanya debate wala group discussion! Tambua magufuli amesimamia nguzo ya ccm chamba ambacho miaka amsini kimeshindwa kuboresha pato la mtu mmoja mmoja pamoja na kuomba misaada hadi Vietnam na raslimali zetu kutumia vbaya. Sasa hukumu yao ni Oktoba 2015. Hakuna cha Maguli wala nn ile system yote ni oil chafu!
 
Back
Top Bottom