Lowassa ndiye rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania 2015
Bila ubishi
Ndugu wa jf,siku zote ushindi wa ccm unachangiwa na wapiga Kura toka vijijini,lakini kwasasa upepo umebadilika. Watu wengi vijijini watamchangua lowasa wakijua bado yupo ccm, yaani hawajui kuwa lowasa ameshahama. nimejaribu kuprint picha Za lowasa na magufuri, yaani kila unayemuuliza utamchagua nani wanakuonesha picha ya lowasa. Cha ajabu pia wengi wao hata magufuri hawamjui... Pia nywele nyeupe,ie mvi watu wengi uku vijijini wenye uelewa mdogo wanasema lowasa ni mtoto wa NYERERE,
hahahaaaa!!! umenifurahisha sanaa, kana ukwel flan amaizing ukisemacho...
Sio JF ni Tanzania nzima imekamatwa na #UKAWA .Inaonekana jf imejaa ukawa .
Inaonekana jf imejaa ukawa .
Ni kweli watu wengi wanaoelewa wajo vijijini. Kwa walio mjini wengi ni watu wa tamaa ya maisha bora bila ya kuyatafuta maisha hayo. Watu wa kijijini ukiwaambia lowasa ni fisadi na wakaona bunge lao limemchachafwa hadi akamwaga manyanga wataendelea kuamini hivo. Siyo hawa watu wanaojidai kuwa mjini wakati hawastahiki hata kuwa huko mjini. Wakiambiwa lowasa mwizi wataandamana kumtaka awarudishie alichowaibia, wakikutana naye wakati wanaandamana na akawanunulia maji wanamwomba aongoze maandamano na lengo la maandamano linabadilishwa.Labda viji vya huko kwenu, lakini wananchi wengi wanaelewa sana, na wapo kimya kwa kuwasikiliza majukwaani, hizi kelele ni za Jf, wanadhani wapo wengi sana.
Ndugu wa jf,siku zote ushindi wa ccm unachangiwa na wapiga Kura toka vijijini,lakini kwasasa upepo umebadilika. Watu wengi vijijini watamchangua lowasa wakijua bado yupo ccm, yaani hawajui kuwa lowasa ameshahama. nimejaribu kuprint picha Za lowasa na magufuri, yaani kila unayemuuliza utamchagua nani wanakuonesha picha ya lowasa. Cha ajabu pia wengi wao hata magufuri hawamjui... Pia nywele nyeupe,ie mvi watu wengi uku vijijini wenye uelewa mdogo wanasema lowasa ni mtoto wa NYERERE,
hahahaaaa!!! umenifurahisha sanaa, kana ukwel flan amaizing ukisemacho...
siri ambayo hawajui ni hii, mm nilisimamia kura 2010 ila mtu alikuwa anakuja anaangalia picha eti mzuri ni nani? Basi anaweka tik bass mm nilibaki kucheka tuu. Mpaka hapo ccm jibu mnalo.
Mwingine akauliza mwenye chama cha nyerere ni nani duh vijijini wana vituko.
Mkuu umeniuwa eti vijijin wanajua lowassa ni mtoto wa nyerere loh. Tutashinda kwa bao la kichwa.