Jiulize why USA is undecisive ?Ni Marekani hajaamua tu, Muiran anapigika tena asubuhi tu kazi inakuwa imeisha
Ni kama vile CCM wanavyowahujumu CHADEMADunia ilivyojaa fitina yawezekana kabisa Milipuko hiyo ilipangwa ili isingiziwe iran
Dogo unaongea kwa hisia sana.Iraq ,Afghanistan hiyo China hata vita ya panya road haijwahi
Sisi watu wa Persian tutaisambaratisha Washington Dc yote iwe mavumbi.Hebu fafanua hapo marekani akipeleka pua hapo ndo utakuwa mwisho wake kivipi?
Jidanganye tuHahaha inashangaza sana watu wanaamini Iran kuwa na uwezo kupambana na USA.
Hawa ni mbingu na ardhi.
Taifa ambalo lina military base karibia elfu 5 kote duniani.
Taifa ambalo military budget yake inazidi kwa mbali jumla ya budget za nchi zote duniani.
China na urusi hata iweje hawawezi ingilia sehemu ambapo USA anapiga,watabakia kubwabwaja tu,lakini wanajua mataifa yao yana maslahi mapana na USA kuliko hayo maficho mengine.
Ni iran bwana usibishe ndugu habari zimezagaa kila kona nduguKwa nini unasema visima vya Saudia
vimeshambuliwa na Iran wakati Houthis
wamekiri ni wao. Jaribu kufatilia source
tofauti tofauti za habari. Main stream media
wanapotosha sana kwa maslahi wanayojua
wao
Muajemi sio mwarabuHuyu irani atachakaa sekunde mwache alete za sadamo hoseni hapa mkwara kumbe maneno tu ,atanyoroshwa huy
kinacho mpa kiburi iran ni kwamba anajua vita naye ni vita na dunia maana ata hakikisha biashara ya mafuta ina haribikaSaudi anazo destroyer Irani hana Iran ni mweupe kama manara tuView attachment 1211005
Tumesha wambia acheni kujifanya mna akili kuliko viongozi wa marekani.Hahaha inashangaza sana watu wanaamini Iran kuwa na uwezo kupambana na USA.
Hawa ni mbingu na ardhi.
Taifa ambalo lina military base karibia elfu 5 kote duniani.
Taifa ambalo military budget yake inazidi kwa mbali jumla ya budget za nchi zote duniani.
China na urusi hata iweje hawawezi ingilia sehemu ambapo USA anapiga,watabakia kubwabwaja tu,lakini wanajua mataifa yao yana maslahi mapana na USA kuliko hayo maficho mengine.
Wanasema makombora hayo kama yangekuwa yamerushwa na Houthis kutoka Yemeni basi mitambo ya SAUD ARABIA ya kuzuia makombora ingeyadhibiti kwa vile mitambo hiyo imeelekezwa upande wa Yemen. Lakini mitambo hiyo haikuweza kuyaona makombora hayo kwa vile yalirushwa toka upande mwingeni ambao ni wa Iran! Ytu masikio!Kwa nini unasema visima vya Saudia vimeshambuliwa na Iran wakati Houthis wamekiri ni wao. Jaribu kufatilia source tofauti tofauti za habari. Main stream media wanapotosha sana kwa maslahi wanayojua wao
IRAN wameishindwa ndugu kuna air defence nzuri ya RUSSIA back up ya PUTIN , hata SAUDIA wenyenye wameomba URUSI na wao wauziwe hiyo air defence,anayechochea mgogoro wa iran ni Israel,israel anaweka figisu sana iran asifanye biashara ya mafuta kwa uhuru ndio maana kamshawishi Trump ajitoe ktk mkataba wa Nuclear, Iran wanachofanya ni kutibua ukanda mzima wa mafuta kuanzi njia ya usafirishaji anattega mabomu meli za mafuta zinalipuliwa na kutekwa pia,mafuta iran anauza kwa black market kwa RUSSIA ndio maana Meli iliyokamatwa baada ya kuachiwa ilienda kupiga nanga bandari ya tartus karibu kabisa na russia navy base iliyopo syriaWanasema makombora hayo kama yangekuwa yamerushwa na Houthis kutoka Yemeni basi mitambo ya SAUD ARABIA ya kuzuia makombora ingeyadhibiti kwa vile mitambo hiyo imeelekezwa upande wa Yemen. Lakini mitambo hiyo haikuweza kuyaona makombora hayo kwa vile yalirushwa toka upande mwingeni ambao ni wa Iran! Ytu masikio!
yaani wakitaka wakipate kilichomtoa kanga manyoya wathubutu ku wage war against Iran
kuna wadau wanamtamani marekani wamdunde ila bado nao hawajapata sababu....
Eti kupiga kupiga zote tatu, unadhani vita ni kama mama ako amavyokupiga makofi eeh?Iran na Syria waliwindwa sana tangu enzi za Bush.
Bush alitaka kupiga zote tatu.
Hizi siasa za mafuta ni complicated sana!IRAN wameishindwa ndugu kuna air defence nzuri ya RUSSIA back up ya PUTIN , hata SAUDIA wenyenye wameomba URUSI na wao wauziwe hiyo air defence,anayechochea mgogoro wa iran ni Israel,israel anaweka figisu sana iran asifanye biashara ya mafuta kwa uhuru ndio maana kamshawishi Trump ajitoe ktk mkataba wa Nuclear, Iran wanachofanya ni kutibua ukanda mzima wa mafuta kuanzi njia ya usafirishaji anattega mabomu meli za mafuta zinalipuliwa na kutekwa pia,mafuta iran anauza kwa black market kwa RUSSIA ndio maana Meli iliyokamatwa baada ya kuachiwa ilienda kupiga nanga bandari ya tartus karibu kabisa na russia navy base iliyopo syria
Wanasita kwa sababu ya bihashara ya mafuta itaingia kwy kuporomoka vibaya sana, maana saudia anazarisha 10% ya mafuta ya dunia, sasa kuingia kwy vita bila kuangalia upande wa bihashara unakuwa mtu wa kukurupuka sana,Ok. Kinachomfanya Marekani hasite site kumshambulia Iran ni nini ?
Hana back up yoyote mkuu usimtie moyoWamguse waone..
Iran ana backup ya Mrusi na Mchina ambao ni bitter rivals wa marekani