Nanyaro Ephata
JF-Expert Member
- Jan 22, 2011
- 1,234
- 1,815
Jina la Kitabu.The New World Order
Mwandishi.Ralph Epperson
Mchambuzi.Nanyaro EJ
Utangulizi
Mwandishi anajitambulisha kama mtu aliyependa kusoma maandishi mbalimbali,na kila alipomaliza kusoma kiu ya kutaka kujua zaidi ikawa inaongezeka,hii ilimfanya asome na kusoma na kusoma na kusoma...hadi akaja kugundua siri ambayo ataielezea kwenye kitabu hiki
Anaanza kwa kunukuu vyanzo mbalimbali vya habari na watu mbalimbali wenye ushawishi Duniani
"Gavana wa New York ndugu Nelson A. Rockefeller amesema akiwa Rais atapambana kuunda serikali Moja duniani
' .... Januari 30, 1976,
Maseneta 32 na wawakilishi 92 wameamini hati ya kuwa uhuru wa mwingiliano wa Kitaifa,wakati wakisaini wamesema kuwa karne mbili zilizopita Babu zetu waliunda Taifa moja la Marekani,na sasa ni jukumu letu kuungana ili kuunda Taifa Moja la Dunia
Dikteta Adolf Hitler, alinukuliwa mara kadhaa kabla ya kusababisha vita vya pili vya Dunia na wakati wa Vita,akisema kuwa serikali yake ya kijamaa itatumia mapinduzi kuhakikisha kuwa Dunia inakuwa na New World Order
Hitler alikuwa anajigamba mara kadhaa kuwa Serikali yake inapaswa kuongoza zaidi ya Ujerumani na kuwa yeye kaka *Barbarian* huwa hawafi!na itakuwa jukumu lake kuweka new World Order na kwamba mtu ambaye anakitazama chama cha NAZI kama chama cha siasa pekee ni mtu kipofu tu ambaye bado haoni lolote!
Mwandishi anasema kuwa ulimwengu wa zamani unapita na unakuja ulimwengu mpya,dalili zote zimetimia,ikiwa ni pamoja na mfumo mpya wa maisha,huu ulimwengu mpya ndio *New World Order*
Dalili za Ulimwengu mpya ni pamoja na maswala ya jinsia moja kuonekana ni jambo la kawaida,na hitaji la kijamiii,malezi ya watoto yasiyokuwa na maadili.Talaka zitakuwa jambo la kawaida na zitarahisishwa.Dini mbalimbali zitawekewa ukiritimba kwenye maswala yao ya dini,serikali zitachukua sehemu kubwa ya ibada (zitaratibu ibada mbalimbali)
Mwandishi anasema waratibu wa jambo hili wanaliratibu kwa umakini mkubwa,na wanafanya hatua baada ya hatua
Inaendelea
nanyaro EJ
Mwandishi.Ralph Epperson
Mchambuzi.Nanyaro EJ
Utangulizi
Mwandishi anajitambulisha kama mtu aliyependa kusoma maandishi mbalimbali,na kila alipomaliza kusoma kiu ya kutaka kujua zaidi ikawa inaongezeka,hii ilimfanya asome na kusoma na kusoma na kusoma...hadi akaja kugundua siri ambayo ataielezea kwenye kitabu hiki
Anaanza kwa kunukuu vyanzo mbalimbali vya habari na watu mbalimbali wenye ushawishi Duniani
"Gavana wa New York ndugu Nelson A. Rockefeller amesema akiwa Rais atapambana kuunda serikali Moja duniani
' .... Januari 30, 1976,
Maseneta 32 na wawakilishi 92 wameamini hati ya kuwa uhuru wa mwingiliano wa Kitaifa,wakati wakisaini wamesema kuwa karne mbili zilizopita Babu zetu waliunda Taifa moja la Marekani,na sasa ni jukumu letu kuungana ili kuunda Taifa Moja la Dunia
Dikteta Adolf Hitler, alinukuliwa mara kadhaa kabla ya kusababisha vita vya pili vya Dunia na wakati wa Vita,akisema kuwa serikali yake ya kijamaa itatumia mapinduzi kuhakikisha kuwa Dunia inakuwa na New World Order
Hitler alikuwa anajigamba mara kadhaa kuwa Serikali yake inapaswa kuongoza zaidi ya Ujerumani na kuwa yeye kaka *Barbarian* huwa hawafi!na itakuwa jukumu lake kuweka new World Order na kwamba mtu ambaye anakitazama chama cha NAZI kama chama cha siasa pekee ni mtu kipofu tu ambaye bado haoni lolote!
Mwandishi anasema kuwa ulimwengu wa zamani unapita na unakuja ulimwengu mpya,dalili zote zimetimia,ikiwa ni pamoja na mfumo mpya wa maisha,huu ulimwengu mpya ndio *New World Order*
Dalili za Ulimwengu mpya ni pamoja na maswala ya jinsia moja kuonekana ni jambo la kawaida,na hitaji la kijamiii,malezi ya watoto yasiyokuwa na maadili.Talaka zitakuwa jambo la kawaida na zitarahisishwa.Dini mbalimbali zitawekewa ukiritimba kwenye maswala yao ya dini,serikali zitachukua sehemu kubwa ya ibada (zitaratibu ibada mbalimbali)
Mwandishi anasema waratibu wa jambo hili wanaliratibu kwa umakini mkubwa,na wanafanya hatua baada ya hatua
Inaendelea
nanyaro EJ