1. "History of the Bukoba District" by Hans Cory, 1959, Lake Printing Works, Mwanza.
nimekuwa mpenzi wa kufahamu historia ya Tanzania, kwani ninadhani walimu wangu wa Historia shuleni hawakufanya kazi nzuri. Either curriculum ilikuwa mbovu au interest yangu kwenye somo ilikuwa ndogo. The latter could be as a result of the former. Kiufupi hiki kitabu ni cha muhimu kwani ni nadra sana kuweza kupata vitabu vinavyoelezea mila na desturi za watu aina fulani Tanzania. Siongelei PhD thesis kwani hizo zimekaa 'too academic' na upatikanaji wake ni mgumu, let alone, mwananchi wa kawaida kukielewa. Akina Hans Cory, John Iliffe, I Kimambo, T Rwehumbiza nk inabidi wapewe heko kwa kuweka historia ya watu wa nchi yetu katika maandishi.
2. "Outliers - the story of success" by Malcolm Gladwell, 2009, Hachette Book Group USA
Malcolm Gladwell ni mwandishi mwenye kipaji cha kuelezea matokea ya tafiti ya sayansi ya jamii kwa mwananchi wa kawaida 'layman'. Kitabu hiki na vingine vyake kama Blink, What the dog saw etc waweza kuviita ni vitabu vya 'pop-social science' kwani anaelezea 'phenomena' kadhaa zinazohusu jamii mfano katika kitabu hichi, anaongelea hasa kuhusu 'mafanikio'. Anaongelea kuhusu dhana ya vipaji, kwamba kipaji cha mtu sio kitu 'special' kwani kwa definition yake 'talent is the ability to practise, practise and more practise'. Anatoa mifano ya the Beatles, Bill Gates, Canadian Hockey teams etc. Anaelezea dhana hii kutolea mfano mstari wa Biblia ambao maarufu sasa kama "the Matthew Effect". Soma zaidi kuhusu hili hapa: [ame]http://en.wikipedia.org/wiki/Matthew_effect[/ame]
Pia anaelezea kuhusu jinsi gani mila za watu fulani zinaweza elezea tabia au matokeo kadhaa. Mfano wa ajali za ndege za Korean Air au Alama za juu za mitihani za wanafunzi wa kichina wanaojiunga na vyuo vya marekani n.k
tazama:
[ame="http://www.youtube.com/watch?v=_yJ_mjeke58&feature=related"]YouTube- Fareed Zakaria CNN Malcolm Gladwell 2[/ame]
It is an entertaining read, and you should read it with an open mind.
Ninavipiga vyote in parallel. Moja nikiwa kwenye usafiri nikielekea/kutoka mzigoni (2) na kingine kabla ya kulala (1).