Kitabu Cha Maisha ya Jakaya Mrisho Kikwete

Kitabu Cha Maisha ya Jakaya Mrisho Kikwete

Wewe mzee unapenda sana udini
Yoda,
Unadhani kuandika historia ya Waislam ni udini?

Vipi kufuta historia ya Abdulwahid Sykes katika kupigania uhuru wa Tanganyika?
 
Yoda,
Unadhani kuandika historia ya Waislam ni udini?

Vipi kufuta historia ya Abdulwahid Sykes katika kupigania uhuru wa Tanganyika?
Kaka Mohamed kwanza shikamoo maana Huku kwetu Itabagumba (buchosa)bila salamu hiyo heshima haionekani,nikushukuru Kwa kuniwekea tanzia ya nguli huyu maana niliikosa na ninavyojua uhusiano wako na almaruhuum Nika Jua utakuwa umeshusha stori siyo ya kitoto kumuhusu asante sana kaka MUNGU akupe maisha marefu na siha njema mwalimu wangu walugha na uandishi Kwa ujumla.
 
Kaka Mohamed kwanza shikamoo maana Huku kwetu Itabagumba (buchosa)bila salamu hiyo heshima haionekani,nikushukuru Kwa kuniwekea tanzia ya nguli huyu maana niliikosa na ninavyojua uhusiano wako na almaruhuum Nika Jua utakuwa umeshusha stori siyo ya kitoto kumuhusu asante sana kaka MUNGU akupe maisha marefu na siha njema mwalimu wangu walugha na uandishi Kwa ujumla.
Mbuli,
Marhaba.
Ahsante sana.
 
Kaka Mohamed kwanza shikamoo maana Huku kwetu Itabagumba (buchosa)bila salamu hiyo heshima haionekani,nikushukuru Kwa kuniwekea tanzia ya nguli huyu maana niliikosa na ninavyojua uhusiano wako na almaruhuum Nika Jua utakuwa umeshusha stori siyo ya kitoto kumuhusu asante sana kaka MUNGU akupe maisha marefu na siha njema mwalimu wangu walugha na uandishi Kwa ujumla.
Mzee wa Itabagumba
 
Wanaondika vitabu hapa kwetu kama wanajichulia, rejea kwa Mzee Benja, mzee Mengi, mzee Sir Chande,Mzee Mwinyi
Ooh kumbe,basi ndio maana ni muda sasa anasema kitabu chake kiko hatua za mwisho mwisho 😎
 
Unaongelea kitabu kilichoandikwa na tapeli aliyefukuzwa chuoni baada ya kugundulika alikuwa tapeli aliyejiita msomi wakati ni kihiyo?
Unataka kumaanisha kwamba Mheshimiwa Rais Mstaafu hakumaliza masomo yake ya Chuo Kikuu?!

Au chuo gani umejaribu kumaanisha? 🤔
 
Wanaondika vitabu hapa kwetu kama wanajichulia, rejea kwa Mzee Benja, mzee Mengi, mzee Sir Chande,Mzee Mwinyi
Kws umri wa mzee mwinyi kweli umeamua kumuweka hapa 😁?
 
Back
Top Bottom