Kitabu cha 'Kesi ya Uhaini' kinahitajika

Kitabu cha 'Kesi ya Uhaini' kinahitajika

Shaycas

JF-Expert Member
Joined
Feb 13, 2009
Posts
906
Reaction score
112
Waungwana Mabibi na Mabwana, naomba sana kwa yeyote anayeweza anisaidie kupata kitabu kiitwacho Kesi ya Uhaini kilichoandikwa na Mnenge Suluja mwaka 1985.

Natanguliza shukrani zangu za dhati kwa msaada huo.
Asante sana.
 
Nafikiri kipo out of print. Nilipata bahati ya kuongea na mtuhumiwa wa Kwanza katika case hiyo aliyetoroka gerezani Ukonga kwa njia ya kimafia. Pia nilibahatika kumuona mzazi wake.

Wote walikuwa watu wapole sana. Usingelichoka kuwasikiliza. Wote wametangulia mbele ya haki. Akitangulia mtoto mwaka 2000 na baadae mzee wake mwaka 2002.
 
Nafikiri kipo out of print. Nilipata bahati ya kuongea na mtuhumiwa wa Kwanza katika case hiyo aliyetoroka gerezani Ukonga kwa njia ya kimafia. Pia nilibahatika kumuona mzazi wake.

Wote walikuwa watu wapole sana. Usingelichoka kuwasikiliza. Wote wametangulia mbele ya haki. Akitangulia mtoto mwaka 2000 na baadae mzee wake mwaka 2002.

Mbaya zaidi hata mwandishi wa kitabu hiki hatunaye tena!
Kama unaweza kuwasilina na waliokuwa publisher wake inaweza kusaidia.
 
Naomba kama Upo Dar Es Salaaam unisaidie kuuliza kwa hawa waliokuwa publisher wa kitabu hiki.
ES Publishers.
 
Back
Top Bottom