Kitabu cha Afrika Magufuli and Change chaingia Tanzania

Mr slow amesaidia kufanikisha hiki kitabu,amefanya jambo jema sana.
Atakuwa ameandika yeye mwenyewe. Huyo mwinginw ni zuga tu!
Ni ujinga kabisa kudhani mnaweza kuendelea kuhadaa watanzania kwa kutumia jina la huyo dikteta wenu ambaye alikuwa ameteka akili za watanzania wasiojitambua waliokuwa wanafurahia mateso ya wenzao wasio na hatia ambao walidhurumiwa mali zao na wengine hata maisha!
 
Atakuwa ameandika yeye mwenyewe. Huyo mwinginw ni zuga tu!
Ni ujinga kabisa kudhani mnaweza kuendelea kuhadaa watanzania kwa kutumia jina la huyo dikteta wenu ambaye alikuwa ameteka akili za watanzania wasiojitambua waliokuwa wanafurahia mateso ya wenzao wasio na hatia ambao walidhurumiwa mali zao na wengine hata maisha!
Wewe ulidhurumiwa nini? Pia tueleze wewe ulidhurumu watz wangapi kwa ufisadi wako?
 
Atakuwa ameandika yeye mwenyewe. Huyo mwinginw ni zuga tu!
Ni ujinga kabisa kudhani mnaweza kuendelea kuhadaa watanzania kwa kutumia jina la huyo dikteta wenu ambaye alikuwa ameteka akili za watanzania wasiojitambua waliokuwa wanafurahia mateso ya wenzao wasio na hatia ambao walidhurumiwa mali zao na wengine hata maisha!
Bila shaka wewe ndiyo hujitambui
 
Atakuwa ameandika yeye mwenyewe. Huyo mwinginw ni zuga tu!
Ni ujinga kabisa kudhani mnaweza kuendelea kuhadaa watanzania kwa kutumia jina la huyo dikteta wenu ambaye alikuwa ameteka akili za watanzania wasiojitambua waliokuwa wanafurahia mateso ya wenzao wasio na hatia ambao walidhurumiwa mali zao na wengine hata maisha!
utakufa vibaya wewe upinde wa mvua
 
Kitabu cha AFRICA MAGUFULI AND CHANGE kilichoandaliwa na raia wa Malawi kwa lengo la kutambua mchango mkubwa wa kimaendeleo kwa bara la Afrika uliofanywa na aliyekuwa Rais wa awamu ya tano wa Tanzania Hayati John Magufuli kimeingia rasmi Tanzania na kupokelewa kwa kishindo na wananchi, wasomi wengi wameonekana kuwa na kiu ya kutaka kujua ni namna gani akili ya hayati Magufuli ilivyokuwa inafanya kazi kwa haraka na kuwezesha kutekeleza miradi mikubwa sana ndani ya muda mfupi wa utawala wake.

Kitabu cha AFRICA MAGUFULI AND CHANGE kina jumla ya kurasa 800 na tayari kimethibitika kupandikiza nuru ya uzalendo na uthubutu kwa mataifa yao kwa wale waliokisoma.
Kitabu hiki kinatazamiwa kutapakaa kote Tanzania, barani Afrika na duniani kote hasa kwa jamii inayojitambua.View attachment 2643855
Naona kama vile bi tozo atanunua sana kipindi hiki
 
Back
Top Bottom