Kitabu cha Afrika Magufuli and Change chaingia Tanzania

Mtazamo wangu ni kuwa mh. Baloziis behind this book. Na labda hicho ndicho kimeifanya mamlaka imsogeze pale kwa mabaharia. No hayo tu
Aha,
Wewe ndiye ulietangazia umma kuwa Balozi kaondolewa kwa sababu kashawishi na kushinikiza Kitabu kiandikwe?? yaani piga ua yake(ushawishi wake) ulikubalika

Haya. Unasomeka.
 
Yaani jamaa alikuwa anajua kuzuga watu Lucifer mwenyewe haoni ndani.
Yaani anakusanya maelfu ya watu bila aibu anawapiga elfu 20 na kuwapa ID fake hazina jina wala picha na kuwaambia anawajali sana na hizo ID wayaenda nazo CRDB, NMB au STANBIC na kupewa mikopo.
Basi hapo kina Kulwa Jilala , jingalao nk wanakenua kuchekelea na hivi wana smartphone basi wanakuja jf na kubwabwaja humu kama walevi wa Kachasu.
Chongolo: Watanzania msidanganyike na hao Wazururaji Katiba mpya itatengenezwa kupitia Mikono, Uongozi, Uratibu na Usimamizi wa CCM na si vinginevyo!
 
Kitabu cha AFRICA MAGUFULI AND CHANGE kilichoandaliwa na raia wa Malawi kwa lengo la kutambua mchango mkubwa wa kimaendeleo kwa bara la Afrika uliofanywa na aliyekuwa Rais wa awamu ya tano wa Tanzania Hayati John Magufuli kimeingia rasmi Tanzania na kupokelewa kwa kishindo na wananchi, wasomi wengi wameonekana kuwa na kiu ya kutaka kujua ni namna gani akili ya hayati Magufuli ilivyokuwa inafanya kazi kwa haraka na kuwezesha kutekeleza miradi mikubwa sana ndani ya muda mfupi wa utawala wake.

Kitabu cha AFRICA MAGUFULI AND CHANGE kina jumla ya kurasa 800 na tayari kimethibitika kupandikiza nuru ya uzalendo na uthubutu kwa mataifa yao kwa wale waliokisoma.
Kitabu hiki kinatazamiwa kutapakaa kote Tanzania, barani Afrika na duniani kote hasa kwa jamii inayojitambua.View attachment 2643855
Malawi wana masilahi gani hapa mpaka wakaandike kutabu cha kumsifia Magufuli?

Magufuli kawafanyia nini cha maana kwenye utawala wake hadi aguse nyoyo zao?

Huyu Profesa anajuwa ni watu wangapi wameuliwa na Magufuli kwa kumkosoa tu kama Ben Saanane na Azory?

Kweli Profesa wa Malawi anajuwa namna wafanyabiashara wa Tanzania wamenyang'anywa fedha au wakulima wa korosho wa Mtwara na Lindi walivyodhulumiwa?

Yaani kweli huyu anajuwa namna wananchi wa Kimara-Kibaha walivyobomolewa nyumba zao bila fidia huku wanachi wa Maanza wakiachwa kwa kuwa eti ndiyo walimpigia kura?

Tusidanganyane, hii ni kazi ya HUMPHREY POLEPOLE ambaye bado ana ndoto za kuwa DIKTETA Magufuli atafufuka
 
Malawi wana masilahi gani hapa mpaka wakaandike kutabu cha kumsifia Magufuli?

Magufuli kawafanyia nini cha maana kwenye utawala wake hadi aguse nyoyo zao?

Huyu Profesa anajuwa ni watu wangapi wameuliwa na Magufuli kwa kumkosoa tu kama Ben Saanane na Azory?

Kweli Profesa wa Malawi anajuwa namna wafanyabiashara wa Tanzania wamenyang'anywa fedha au wakulima wa korosho wa Mtwara na Lindi walivyodhulumiwa?

Yaani kweli huyu anajuwa namna wananchi wa Kimara-Kibaha walivyobomolewa nyumba zao bila fidia huku wanachi wa Maanza wakiachwa kwa kuwa eti ndiyo walimpigia kura?

Tusidanganyane, hii ni kazi ya HUMPHREY POLEPOLE ambaye bado ana ndoto za kuwa DIKTETA Magufuli atafufuka
Magufuli amefanyia makubwa bara la Afrika ndiyo maana wakaandika.

Wananchi wa Kimara - Kibaha wanaisifia barabara iliyojengwa pale maana imewaokolea muda na pesa
 
Watakuja pia walionyimwa ajira, ambao ndugu zao waliokotwa kwenye viroba na walioporwa pesa
Wapiiii hizo ni propaganda za kumchafua tu na hayo mazoezi yalikuwa yanafanywa na haters ili aonekane mwamba nchi anaiongoza kwa mkono wa chuma lakini uhalisia hauko hivyo jombaaa, ukitaka kujua nguvu ya the legends ingia mtaani ndo utajua who was Magu. Hapa kwenye keyboard ndo mnaonekana wengi kidogo kwasababu ya payroll mnazopiga ila ukweli hata nyinyi mnaujua.

Miaka miwili tangu atutoke lakini kila mahali katika nchi hii mnapambana kumchafua lakini hachafuki miaka miwili tangu atoke mnahangaika na kumalizia miradi yake japo mnakopa sana lakini bado miradi ya mwamba hamuitekelezi kwa wakati. Yule mwamba alikuwa mtu na nusu acha wanaojitambua watuonyeshe lulu tuliyokuwa nayo lakini bado tukaifukia chini kwasababu ya tamaa za watu wachache na ubinafsi uliokubuhu.
 
Back
Top Bottom