Kwa kipindi nalikuwa nagonjeka. Kuna maraia wanaroga sana. Sasa bado nina hasira na Watanzania wanaosaliti wenzao, wakiwa wanajua kabisa kuwa dhili ni yetu na wageni wanapita. Zaidi tunawasaidia kuiletea Tanzania hasara, hasa maeneo ambayo Serikali na taasisi zake wana hisa.
Stay tuned, niuze hoja za uchaguzi.
Stay tuned, niuze hoja za uchaguzi.