Kiswahili kibovu

Kiswahili kibovu

James Ritu

Member
Joined
Sep 12, 2024
Posts
12
Reaction score
4
Baadhi ya habari zinazoandikwa humu zinashangaza Sana. Hivi siku hizi kiswahili hakifundishwi mashuleni? Fikili badala ya fikiri, safili badala ya safiri, Dora badala ya Dola, mahali badala ya mahari nk. Kiswahili gani hicho?
 
Kuna bendi ya jeshi Dodoma wanakiita "MATAJILI WA ZABIBU" . Nilishangaa sana.
 
Back
Top Bottom