Usisahu pia kenya inaongeza kw ukuaji wa middle class EA2004 ilikuwa na watu laki 5 huku 60 percent wakiishi kwenye slums,
2019 ilikuwa na watu laki 8 kasorona hapa wanaoishi kwenye slums waliongezeka maradufu,
Usisahau pia kenya inaongoza kwa ukuaji wa slums.View attachment 1321226
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ruka ruka tu kama 🐔mtetea.Usisahu pia kenya inaongeza kw ukuaji wa middle class EA
Tafuta za 2000 uje uwafurahishe vibwengo wenzio
Sent using Jamii Forums mobile app
service lane ya 100m unajua kwenye highway service road inatakiwa iwe na urefu gani at minimum na unajua kazi ya service road na kama unajua service road ya 100m inaweza fanya izo kazi sijabisha kuhusu service road ila kwenye hivo vipimo hapana aiseeMwanza hamna six lane, ni two lanes halafu kuna mahalai mmeongezea service lane km 100m hivi..
Kadanganye wajinga
Sent using Jamii Forums mobile app
Yani unapoambiwa mombasa nairobi highway service road ni km 10km haimaanishi ipo moja kwa moja jomba...service lane ya 100m unajua kwenye highway service road inatakiwa iwe na urefu gani at minimum na unajua kazi ya service road na kama unajua service road ya 100m inaweza fanya izo kazi sijabisha kuhusu service road ila kwenye hivo vipimo hapana aisee
Sent using Jamii Forums mobile app
LOL hamna City hapa broA Big City in the Making View attachment 1320771View attachment 1320776
Sent using Jamii Forums mobile app
LOL Moshi is even better than this kipoison 😂😂😂Tunalemewa nn unaleta tu takataka... Leta tu jengo mojamoja coz kwenye aerial mnatia tu aibu...
mji wa smoke hiyo ni ujamaa village....it's a rural sttlementLOL Moshi is even better than this kipoison 😂😂😂
Iringa ni mboga aina ganiLOL hamna City hapa bro
Iringa nayo ingekua City
If dar is a slum itself is a huge slum sembuse these glorified villagesUsisahu pia kenya inaongeza kw ukuaji wa middle class EA
Tafuta za 2000 uje uwafurahishe vibwengo wenzio
Sent using Jamii Forums mobile app
Na Mwanza ni chooIf mwanza doesn't deserve to be a city then kisumu ni takataka
Msisahu pia ku post na wake zenu tuwaoneMkitoka hapa mfungue uzi wa mademu wa tz vs mademu wa Kenya wapi wakali...
Sent using Jamii Forums mobile app
Rudishia mamako simu sasa.Mkitoka hapa mfungue uzi wa mademu wa tz vs mademu wa Kenya wapi wakali...
Sent using Jamii Forums mobile app
MoshiLOL Moshi is even better than this kipoison
Watu ka nyie ni wa kupuuzwa
Kisumu na Mombasa ni mashimoniNa Mwanza ni choo
Bora hata asingekomenti.....Huko ni kutafuta umwamba kwenye hamna
nimeona nisiendele kujibu maana tunaweza tukawa tunatofautiana ujuzi unakutana unabishana na daktari kuhusu road design au huko kwao wamezoea service road za 100m huwezi juaBora hata asingekomenti.....Huko ni kutafuta umwamba kwenye hamna
nimeona nisiendele kujibu maana tunaweza tukawa tunatofautiana ujuzi unakutana unabishana na daktari kuhusu road design au huko kwao wamezoea service road za 100m huwezi jua
Sent using Jamii Forums mobile app