Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,007
- 13,800
Tatizo unapenda kusikiliza habari za udaku.Ndege ya ATCL ilivamiwa na kunguru hapo Mwanza.
samahani kukusumbua, lakini mbona miradi ya Tanzania yote inakwama? Hiyo render kumbe ilikuwa inajengwa lakini imekwama tangu 2014 kwa kushindwa kulipa mwana kandarasi (Beijing Construction Engineering Group ). Ilikuwa iaanze kazi september 2014 na mpaka sahi bado iko kwa msingi?
Hiyo ya cargo nayo ilibidi ipunguzwe mpaka 500,000 tonnes kwa kukosa hela. Eldoret airport ambayo ni ndogo kwa Kisumu, cold storage yake inaweka 280 metric tonnes, cargo warehouse inaweka 1.7 million tonnes.