Kisu Cha Ngariba JF-Expert Member Joined Jun 21, 2016 Posts 22,133 Reaction score 48,851 Mar 14, 2020 #1 Habari za jioni JF? Nilipotea kwa zaidi ya miezi 6 kwasababu ya zilizopo nje ya uwezo wangu lakini sababu kubwa ni kukosa uwezo wa kulog in kwenye account yangu. Naamini mtanipokea tena katika majukwaa yote, kwa bahati mbaya lile jukwaa letu pendwa wameliondoa. Tujumuike kusogeza gurudumu la maisha mbele. Sent from my iPhone using JamiiForums
Habari za jioni JF? Nilipotea kwa zaidi ya miezi 6 kwasababu ya zilizopo nje ya uwezo wangu lakini sababu kubwa ni kukosa uwezo wa kulog in kwenye account yangu. Naamini mtanipokea tena katika majukwaa yote, kwa bahati mbaya lile jukwaa letu pendwa wameliondoa. Tujumuike kusogeza gurudumu la maisha mbele. Sent from my iPhone using JamiiForums
njoo kwetu JF-Expert Member Joined Jan 11, 2016 Posts 801 Reaction score 1,798 Mar 14, 2020 #2 Vipi, ushaona uzi wa kula tunda kimasihara... Kama bado, nakushauri utafute mapema sana.. na usisahau kusubscribe mapema kabsa...
Vipi, ushaona uzi wa kula tunda kimasihara... Kama bado, nakushauri utafute mapema sana.. na usisahau kusubscribe mapema kabsa...
Mwifwa JF-Expert Member Joined Apr 3, 2017 Posts 48,721 Reaction score 126,568 Mar 15, 2020 #3 Karibu sana mkuu, nadhani kuondolewa kwa hilo jukwaa ambalo hata mimi silijui ni mojawapo ya hatua za kupambana na Corona hapa jamvini
Karibu sana mkuu, nadhani kuondolewa kwa hilo jukwaa ambalo hata mimi silijui ni mojawapo ya hatua za kupambana na Corona hapa jamvini
Ulimakafu JF-Expert Member Joined Mar 18, 2011 Posts 31,701 Reaction score 13,672 Mar 15, 2020 #4 Karibu sana JF mjukuu wetu hapa kwa GT upate kufaidi.
Ulimakafu JF-Expert Member Joined Mar 18, 2011 Posts 31,701 Reaction score 13,672 Mar 15, 2020 #5 Powaaa
Diason David JF-Expert Member Joined Aug 2, 2018 Posts 7,557 Reaction score 7,381 Mar 15, 2020 #6 Karibu Sana lorimodo wetu
Mehek JF-Expert Member Joined Feb 26, 2017 Posts 7,473 Reaction score 10,429 Mar 18, 2020 #7 Karibu tenaaaa
majoto JF-Expert Member Joined Jul 19, 2013 Posts 2,706 Reaction score 5,111 Mar 18, 2020 #8 Umemuacha wapi GuDume?
The Masterpiece JF-Expert Member Joined Sep 20, 2019 Posts 564 Reaction score 1,562 Mar 18, 2020 #9 Karibu sana mkuu
N NAMESHE JF-Expert Member Joined Jan 11, 2018 Posts 669 Reaction score 796 Mar 18, 2020 #10 Lipo. halijaondolewa mkuu. omba tu member mmojawapo kule akuombee wakutumbukize urudi kundini
N NAMESHE JF-Expert Member Joined Jan 11, 2018 Posts 669 Reaction score 796 Mar 18, 2020 #11 lipo bwana acha kunitisha. hahahahahahahahah Mwifwa said: Karibu sana mkuu, nadhani kuondolewa kwa hilo jukwaa ambalo hata mimi silijui ni mojawapo ya hatua za kupambana na Corona hapa jamvini Click to expand...
lipo bwana acha kunitisha. hahahahahahahahah Mwifwa said: Karibu sana mkuu, nadhani kuondolewa kwa hilo jukwaa ambalo hata mimi silijui ni mojawapo ya hatua za kupambana na Corona hapa jamvini Click to expand...
Mwifwa JF-Expert Member Joined Apr 3, 2017 Posts 48,721 Reaction score 126,568 Mar 19, 2020 #12 NAMESHE said: lipo bwana acha kunitisha. hahahahahahahahah Click to expand... Hahahahaa, tatizo mnakataza koneksheni
NAMESHE said: lipo bwana acha kunitisha. hahahahahahahahah Click to expand... Hahahahaa, tatizo mnakataza koneksheni
Shadeeya JF-Expert Member Joined Mar 12, 2014 Posts 51,133 Reaction score 122,589 Mar 23, 2020 #13 Karibu tena. ukhuty.
ukhuty JF-Expert Member Joined Oct 9, 2016 Posts 16,885 Reaction score 42,002 Mar 23, 2020 #14 Shadeeya said: Karibu tena. ukhuty. Click to expand... Nimekuja dada mgeni nimeshampokea tayari
Shadeeya JF-Expert Member Joined Mar 12, 2014 Posts 51,133 Reaction score 122,589 Mar 23, 2020 #15 ukhuty said: Nimekuja dada mgeni nimeshampokea tayari Click to expand... Aliadimika sana huyu mgeni mwenyeji. 😀
ukhuty said: Nimekuja dada mgeni nimeshampokea tayari Click to expand... Aliadimika sana huyu mgeni mwenyeji. 😀
ukhuty JF-Expert Member Joined Oct 9, 2016 Posts 16,885 Reaction score 42,002 Mar 23, 2020 #16 Shadeeya said: Aliadimika sana huyu mgeni mwenyeji. Click to expand... Atatueleza alikuwa wapi kwa kipindi chote hichi
Shadeeya said: Aliadimika sana huyu mgeni mwenyeji. Click to expand... Atatueleza alikuwa wapi kwa kipindi chote hichi
Shadeeya JF-Expert Member Joined Mar 12, 2014 Posts 51,133 Reaction score 122,589 Mar 23, 2020 #17 ukhuty said: Atatueleza alikuwa wapi kwa kipindi chote hichi Click to expand... Kwa kweli. Mana nakumbuka kuna mtu alianzisha mpaka uzi kumsaka lakini ikawa hola.
ukhuty said: Atatueleza alikuwa wapi kwa kipindi chote hichi Click to expand... Kwa kweli. Mana nakumbuka kuna mtu alianzisha mpaka uzi kumsaka lakini ikawa hola.
NYEKUNDU YA BIBI JF-Expert Member Joined Oct 27, 2017 Posts 2,305 Reaction score 2,992 Mar 23, 2020 #18 yoshas njooo huku wamelia tena kama Nyete Sent using Jamii Forums mobile app
Naki 12 JF-Expert Member Joined Mar 19, 2016 Posts 1,263 Reaction score 1,307 Mar 23, 2020 #19 karibu tena ndugu.
ukhuty JF-Expert Member Joined Oct 9, 2016 Posts 16,885 Reaction score 42,002 Mar 23, 2020 #20 Shadeeya said: Kwa kweli. Mana nakumbuka kuna mtu alianzisha mpaka uzi kumsaka lakini ikawa hola. Click to expand... Hahah ndo naingia muda huu dada
Shadeeya said: Kwa kweli. Mana nakumbuka kuna mtu alianzisha mpaka uzi kumsaka lakini ikawa hola. Click to expand... Hahah ndo naingia muda huu dada