kisonono kinasononesha

kisonono kinasononesha

appoh

JF-Expert Member
Joined
Mar 14, 2013
Posts
5,825
Reaction score
3,092
huu ugonjwa wa kisonono aisee unanisononesha sana na kunipa mawazo sababu anarudi toka safari na akirudi lazima atataka penzi maana analalamika kwamba nyege alizokua nazo akirudi anataka kama siku 2 kuzimaliza na mimi mjegeja wangu una mapele kiasi kwamba nikivua nguo tu mshtuko atakaoupata huenda akazimia msaada plz jinsi ya kutatua huu msala
 
msaada ni kuwaona wataalamu wa afya tu kwani ugonjwa huo unatibika ukiwahi hospitalini mapema,ila i hope utakuwa umejifunza kitu mpaka hapo nawe hautarudia tena kuendekeza tamaa zako za mwli.
 
ndo ukome wanaume kama nyie ambao mpenzi akienda mbali kidogo tu mnatafuta wa kuwagegeda wengine dawa zenu ni kupata hiko hiko kisonono kiendelee kukusononesha siku zote
 
huu ugonjwa wa kisonono aisee unanisononesha sana na kunipa mawazo sababu anarudi toka safari na akirudi lazima atataka penzi maana analalamika kwamba nyege alizokua nazo akirudi anataka kama siku 2 kuzimaliza na mimi mjegeja wangu una mapele kiasi kwamba nikivua nguo tu mshtuko atakaoupata huenda akazimia msaada plz jinsi ya kutatua huu msala

Msaada wangu upo kwenye BLUE.
 
Mungu atunusuru lakini wanaume wengine sio kabisa, angefanya mwenzie hapo loh pangekua hapatoshi,kwani matangazo ya kinga yapo mpaka kwenye nguzo za umeme huyaoni? au ndio unataka uisikilizie? haya nenda Hospital na uka check na mengine pia....
 
ndo ukome wanaume kama nyie ambao mpenzi akienda mbali kidogo tu mnatafuta wa kuwagegeda wengine dawa zenu ni kupata hiko hiko kisonono kiendelee kukusononesha siku zote
 
Hahahaa... Wee mweleze tuu, "Mama watoto Ikulu hali si shwari"
 
teh teh teheeeee!hahaaaaaaa!
hospitali unatibika!poleeee!
 
nenda hosp.kama bado hujaenda na achana na tamaa
 
jitahidi urudi usiku, halafu uwe umevalia condom umpe dozi yakutosha then jitie unaumwa malaria wakati ukitafuta suluhu ya ugonjwa wako
 
magonjwa hayo ya zinaa husababisha matatizo ya uzazi{ingawa kuhusu kuhusu kisonoso sina uhakika}ni bora ukatibiwe ASAP.kuliko baadae ukaja muambukiza mwenzako
 
huu ugonjwa wa kisonono aisee
unanisononesha sana na kunipa mawazo sababu anarudi toka safari na
akirudi lazima atataka penzi maana analalamika kwamba nyege alizokua
nazo akirudi anataka kama siku 2 kuzimaliza na mimi mjegeja wangu una
mapele kiasi kwamba nikivua nguo tu mshtuko atakaoupata huenda akazimia
msaada plz jinsi ya kutatua huu msala

WAHI HOSPITALI MAPEMA.ILA WAKATI UNAPOIBA KUWA MWANGALIFU NA CHUKUA TAHADHARI i.e use condoms .MAANA KWA MIONDOKO HIYO YA PEKUPEKU NI RAHISI KUPATA NGOMA.
 
MMhhh..we jamaa unaendaga peku kwenye game za mchangani??TOO SAD!!:A S 39:
 
huu ugonjwa wa kisonono aisee unanisononesha sana na kunipa mawazo sababu anarudi toka safari na akirudi lazima atataka penzi maana analalamika kwamba nyege alizokua nazo akirudi anataka kama siku 2 kuzimaliza na mimi mjegeja wangu una mapele kiasi kwamba nikivua nguo tu mshtuko atakaoupata huenda akazimia msaada plz jinsi ya kutatua huu msala

kwanza jifunze kutokana na makosa yako usirudie tena, hebu nafsi yako ikusute siku nyingine...si bora hiko kisonono kinapona ungekwaa miwaya ndio ungetia adabu

eniwei, kwa sasa kwa sabb wife anakaribia kurudi we jidai unaumwa malaria na ujifanye hujisikii vizuri kabisaa, yaani anza kumwambia huko aliko ili asiweke hamu ya mapenzi mbele sana mana akijua unaumwa hatakuwa na kiherehere cha hiyo kitu..ikibidi kunywa dawa za malaria kabisa mbele yake aone ili ajue unaumwa kweli...

pili hakikisha unaoga peke yako na unavaa asikuone ili asisitukie dili...hakikisha humgusi kabisa kwa kipindi kirefu mpaka uhakikishe kuwa ww mwenyewe umepona.....yaani uendelee kujidai waugua malaria mpk upone hiyo kitu..................

usisahau kuhakikisha usafi wa choo/bafu/taulo ili usimuambukize kupitia huko
 
ikibidi waweza kutafuta safari na wewe ukasafiri kwa muda ili ujitibu ukiwa mbali wife asijue na utakaporudi uwe umepona na umetia adabu
 
Jamani Huyu mtu asihukumiwe sana, kosa lake pengine ni kuchepuka!
Nina lived experience ya mshikaji wangu wa karibu na Demu wake
ambao waliwahi kupata maambukizi kama hayo kutoka Guest House waliyolala!

Ni vema pia kwa wagegedaji kutumia G/House zenye hadhi na usafi wa kuridhisha!
ila huyu jamaa amweleze mwenza ukweli, asishangae naye akapata ukweli na mengi ambayo hakuyategemea..Hahaahaaa panakuwa patamu hapo haswaaaaa!
 
huu ugonjwa wa kisonono aisee unanisononesha sana na kunipa mawazo sababu anarudi toka safari na akirudi lazima atataka penzi maana analalamika kwamba nyege alizokua nazo akirudi anataka kama siku 2 kuzimaliza na mimi mjegeja wangu una mapele kiasi kwamba nikivua nguo tu mshtuko atakaoupata huenda akazimia msaada plz jinsi ya kutatua huu msala
Kula alovera, paka nyingine kwenye ndutu, paka na vitunguu swaumu, weka kila tiba mbadala uliyowahi kuisikia, mbona sono bin swende lenyewe litabwaga manyanga?
Hata sosoliso alikuwa na tatizo kama lako, sema tu Paloma hajui mbinu iliyotumika kumponya sosoliso
 
Last edited by a moderator:
Kula alovera, paka nyingine kwenye ndutu, paka na vitunguu swaumu, weka kila tiba mbadala uliyowahi kuisikia, mbona sono bin swende lenyewe litabwaga manyanga?
Hata sosoliso alikuwa na tatizo kama lako, sema tu Paloma hajui mbinu iliyotumika kumponya sosoliso


we mwana koma weee......... sosoliso hajawahi kutembelewa na hivyo vijidudu!!!
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom