Kismati

umenifurahisha kweli? unapata faida gani baada ya hapo?
jiulize ungekuwa umetulizana ungekuwa wapi?

watu wengine vinaniliu vyao vingekuwa penseli, vishakwisha zaaaaaaaaamaaani,
 
Ni utoto unakusumbua, ukikua utaacha.
Tafuta hela zako mwenyewe, acha kutegemea hela za mabinti

Kweli... Kabisa... Kweli hamna faida ya kuruka-ruka labda sifa tu..
2sharuka sana... Bahati wanapewa wengine... So bora utulie mdogo wangu..
Msikilize sana bujibuji... Yupo wise..™
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…