Kisima cha maajabu -SUMBAWANGA

Kisima cha maajabu -SUMBAWANGA

Sawa kabisa na ningekubaliana na maelezo yako kama mtoa mada angesema shimo lililochimbwa lilikuwa fupi mithili ya kaburi na bado jamaa wakufa kwa kuvuta hewa hiyo.
Mtoa mada hajasema kuwa kulikuwa na harufu ya yai bovu sehemu hiyo.
Uzuri wa hydrogen sulfide ni kwamba inakupa warning kwa harufu yake, na mtu unaweza kujiokoa baada ya kuvuta hewa hiyo.

Kijijini kwangu(huko wilaya ya Rungwe) gesi huwa inatoka freely kama mita mia mbili toka sehemu ilipo nyumba yetu na wanakijiji kwa miaka mingi tu wamejifunza madhara yake na kuchukua tahadhari.

Nasisitiza kuwa , kisima kilikuwa kirefu na hao jamaa wa mekuga kwa kukosa oxygen-matukio ambayo ni kawaida kabisa kwa mtu ambaye hajawahi kuchimba shimo refu.

jaman urefu wa shimo n kama mta 10 hv
 
Nakubaliana nawewe kaka, watakuwa wamevuta hewa ya sumu.
Ni sawa usemavyo ila inategemea na kina cha urefu wa hicho kisima.
Otherwise waulizwe hao wadau waliokuwapo hapo na hiyo aliezirai akaokolewa je hawakuvuta hewa yenye harufu mbaya kama vile ya ushuzi au yai bovu?

Kama hiyo harufu ilikuwapo basi hao wamevuta hewa ya sumu inayoitwa Hydrogen Sulphide (H2S). Na watakuwa wamevuta zaidi ya kiwango cha salama which.is 5ppm.

Kisayansi kuwepo hali inatokana na bakteria ambao wanaishi kwa kupumua kwa nji inayoitwa aanaerobic respiration.

Hapo pahala panaweza kuwa kuna aina fulani ya biomas gesi inaitwa methane ambayo ni nzuri kama nishati mbadala. Au itakuwa kuna madini fulani hapo.

Cha muhimu hiyo hewa waliyovuta hapo inaweza kuwa ni hiyo hewa sumu ya hydrogen sulphide.
Muwe na hadharin sana msikurubie hapo pahali.
Mtu yeyote atakekumbana na hiyo harufu basi aelekee upande unaotokea upepo huku anaondoka bila ya kukimbia.
 
Hakuna uajabu wowote
Hewa ilikosekana,
Hapo kimara limewahi
Kutokea tukio la namna
Hyo,jamaa alichimba shimo
La choo kaliacha mda mrefu
Likiwa limefunkwa, kaajir
Vijana kulisafisha,wawil
Wakafa mmoja akaokolewa
Kama alivyookolewa huyo.
Jielimishe kwanza mkuu ndo
Uite ajabu!
 
jaman urefu wa shimo n kama mta 10 hv
Now you are talking!
Kama nilivosema awali, kwa urefu wa shimo hilo kuimaliza oxygen yote ni muda mfupi sana kwa watu wawili(hasa shimo likiwa finyu).
Mtu anaimaliza oxygen yote halafu anakufa kwa asphixiation.
By definition asphyxiation is : suffocation caused by a condition of being deprived of oxygen.
 
Now you are talking!
Kama nilivosema awali, kwa urefu wa shimo hilo kuimaliza oxygen yote ni muda mfupi sana kwa watu wawili(hasa shimo likiwa finyu).
Mtu anaimaliza oxygen yote halafu anakufa kwa asphixiation.
By definition asphyxiation is : suffocation caused by a condition of being deprived of oxygen.

kaka nimekuelewa lkn n vp iwe kukosekana oxgen muokoaj aliingia na oxgen machine pia kafa mpaka alipopatikana mganga wa kienyeji ndo wakaopolewa?
 
Eti 'maajabu ya kusisimua!', acheni kuendekeza imani za giza kwa vifo vinavyojieleza! Umeuliza kina cha kisima? Hewa iliyopo chini? Taarifa za kitabibu kwa miili iliyoathiriwa (postmortem reports)? Fuatilia hivyo vyote ndipo utuambie "habari za kuaminika".

Sent from my BlackBerry 8900 using JamiiForums
 
Habari za kuaminika kutoka sumbawanga televishen(S-TV) Zinathibitisha kutokea maajabu ya kusisimua ktk kata ya chanji mjin sumbawanga ni baada ya watu wawili kufariki dunia na mmoja kuzimia ktk kisima kimoja kilichochimbw na mchimbaj ambae jina lake halikufahamika.Ilikuwa tar 24.12.2013 baada ya mwenye nyumba kuita mchimbaji alifia shimon kafuata muokoaji pia jafa akafuata mwingine yaan m2 wa tatu aliofungwa kamba na waokoaji wengine akanusurika kwa kuvutwa na kamba aliyofungwa hivyo kuzirai.Inasadikika kuna nguvu za giza maana hata kuwatoa marehemu walitumia waganga wa kienyeji.
Ovyooo! Kazi kueneza imani za kichawi. Kwa nini usidhani kama kuna hewa ya sumu ndani ya kisima sababu inayoweza kuwa kweli kuliko kukimbilia uchawi?
 
Acha ushamba , ukichimba shimo na wewe ukaingia ndani na uka kaa humo , utakufa kwa kukosa oxygen.
Ndio maana wachimbaji wa madini wanahakikisha kuna compressor ya kuingiza hewa mpya shimoni.

Jitahidi kuelimika kijana!
kuna tofauti kubwa sana ya shimo la kisima na shimo la mgodi mkuu.
 
kaka nimekuelewa lkn n vp iwe kukosekana oxgen muokoaj aliingia na oxgen machine pia kafa mpaka alipopatikana mganga wa kienyeji ndo wakaopolewa?
Nimepitia tena submission yako na sijaona mahala umesema muokoaji aliingia na mtungi wa oxygen.
Pengine hilo ni jipya, lakini ni dhahiri waliokufa walikosa oxygen.

Mimi nashindwa kuweka imani yangu kwa hao waganga, actually siwezi kabisa kufanya hivyo.
Hizi ajali za mashimoni ni myingi sana na waganga hao wala hawana ujuzi au uweza wa kueleza chanzo cha ajali kama hizo.
 
waacheni sumbawanga waitwe sumba-wanga. Wanafikiria kiwanga wanga tu
 
Ajabu ni nini hapo sasa?

Hebu waulize, manake isijekuwa mchimbaji alitoboa miamba huko chini kukawa na kemikali hatari wakavuta wakafa. Sijui hata kama post-mortem, autopsy au similar analysis ilifanyika kujua chanzo cha vifo.
 
1388743602339.jpg hata co mkaaji napita
 
mosapakyindi na @Kwaharizm mmemaliza kabisa hii maneno. Pitieni wall ya fb ya Mwandishi wa habari Sammy Jumaa Kisika akiwa eneo la tukio.
 
Last edited by a moderator:
Uchawi si lolote si chochote. mtu akikosa scientific explanation anasingizia uchawi. huu ni ufinyu wa akili. Ungekuwapo uchwi ccm wangefanikiwa katika kuiondoa CHADEMA. maana CDM kinawanyima kina Lukuvi na mwigulu usingizi kweli

na ingekuwa uchawi unaweza SUMBAWANGA, TANGA na KIGOMA kila siku kwenye kila nyanja wangekuwa mbele sana mkuu
 
mita kumi kukosa hewa kawaida kabisa. ELIMIKENI. shnzy

Mita kumi sio.kaqaida kukosa hewa ni still shalow hole na.kwa sababu wamekufa instantly ni lazima kuna presense ya hewa yenye sumu na hizo ni characterstics za H2S ndio Hydrogen Sulphide ilivyo very effective and swift killer
 
Mleta mada naye kaathiriwa na imani za kishirikina.....
 
Back
Top Bottom