Kisima cha maajabu -SUMBAWANGA

Uchawi si lolote si chochote. mtu akikosa scientific explanation anasingizia uchawi. huu ni ufinyu wa akili. Ungekuwapo uchwi ccm wangefanikiwa katika kuiondoa CHADEMA. maana CDM kinawanyima kina Lukuvi na mwigulu usingizi kweli
tehe! tehe! tehe! .......inafurahisha kweli hii
 
Back
Top Bottom