Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 41,983
- 12,702
Nilikuwepo eneo la tukio siku hiyo ishu ilipotokea, hakuna ajabu yoyote pale ni ajali tu ya kawaida.Kwa hvy compressor n mganga wa kienyeji maana kila muokoaj alishindandwa hata catapila ya wachna ilikwama